Kwamba ndo ile kauli ya "tutaifuta Tanzania law society"??????Sasa hapa wananataka kumdhibiti nani, TL!? Vitu kama hivi ndivyo vinapelekwa alafu baadae ikitokea rais atakayekuwepo akavifuta wanashangilia.
Kwamba ndo ile kauli ya "tutaifuta Tanzania law society"??????Sasa hapa wananataka kumdhibiti nani, TL!? Vitu kama hivi ndivyo vinapelekwa alafu baadae ikitokea rais atakayekuwepo akavifuta wanashangilia.
Mkuu, naona muda unatosha sana.Sasa mkuu wanawapa watu siku 11 tu (mpaka June 19) kutoa maoni yao. Huu muda unatosha kweli?
Hahaha inawezekana sana mkuu, sasa TLS itabidi isajiliwe kama NGOKwamba ndo ile kauli ya "tutaifuta Tanzania law society"??????
Haitamuathiri Lissu peke yake bali wanasheria wote. Hii ni ya kupinga na kuogopa sana.Kwa vipengele tajwa japo juu, naona TLS ya kina Tundu Lissu inaelekea
hali jojo. ni suala la muda tu nawaambieni.
Soma vizuri vipengele vya hapo mapendekezo kisha tafakari mara 2 mbili.
Kazi zote za TLS zimehamishiwa kwenye hiyo bodi mpya nadhani hiyo sheria mpya inakwenda kurepeal TLS Act na huo ndiyo mwisho wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika kilichodumu kwa nusu karne sasa!Kwamba ndo ile kauli ya "tutaifuta Tanzania law society"??????
Hakuwa TLS act acha uongoKazi zote za TLS zimehamishiwa kwenye hiyo bodi mpya nadhani hiyo sheria mpya inakwenda kurepeal TLS Act na huo ndiyo mwisho wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika kilichodumu kwa nusu karne sasa!
Unajisikia raha kubisha mambo usiyoyajua?Hakuwa TLS act acha uongo
Hakuwa TLS act acha uongo
Tuliwaambia kuwa ile TLS inakuwa chama cha kuzikana soon.Mkuu, jambo hilo nimeliona na, kama mdau, najitahidi kulifuatilia.
Mpaka sasa kuna sheria ngapi zimeletwa chini ya Magufuli?Naamini rais ajaye atazibadilisha sheria nyingi sana zinazotungwa awamu hii ya tano! Maana zinatungwa kwa mihemuko na nia ya kukomoa mtu fulani au kundi fulani, kitu ambacho tukipata rais wa hekima atazifutilia mbali