Ukaridayo
JF-Expert Member
- Oct 8, 2012
- 507
- 469
By Professor Maghembe
Biashara ya mkaa hivi sasa inaendeshwa na watu mbalimbali, mkaa unasafirishwa hadi zanzibar ukifika zanzibar unasafirishwa kwenda nje...
Sasa tutaweka kodi kubwa kwenye mkaa na watashindwa kuupata kwa urahisi.
Ili tulinde misitu yetu na utunzaji wa mazingira yetu.
Taasisi za serikali zinazotumia kuni na mkaa sasa zibadilike badala yake watumie mfumo wa gesi.
Biashara ya mkaa hivi sasa inaendeshwa na watu mbalimbali, mkaa unasafirishwa hadi zanzibar ukifika zanzibar unasafirishwa kwenda nje...
Sasa tutaweka kodi kubwa kwenye mkaa na watashindwa kuupata kwa urahisi.
Ili tulinde misitu yetu na utunzaji wa mazingira yetu.
Taasisi za serikali zinazotumia kuni na mkaa sasa zibadilike badala yake watumie mfumo wa gesi.