Iringa Native
JF-Expert Member
- Nov 9, 2011
- 961
- 3,050
mafuta ya taa walitupandishia bei kwa kisingizio yanatumika kuchakachua mafuta ya magar yao wakaona watuangamize wapikia mchina tukakimbilia mkaa...huku nako wametufata hivi wanataka tuishije au ndo waliposem tutaishi kama mashetan hii pia ni namna yao ya tuishi kama mashetani?,
Anakuja mtu mzima anatetea sijui anafikilia kwa kutumia mata**,kabla huja support kwanza uliza kuna njia gani mbadala wametupatia wapikia mikaa,Umeme hatuwez kupikia,Gas hatuna uwezo watupe alternative bhas au kaa washushe bei za nishat nyingine.
Kuna faida gan kusema unatunza mazingira huku raia wanakufa wakikosa namna ya kuishi labda mnawatunzia mazingira wazungu!,nipe mbadala uone kama nitapikia mkaa au mnadhan tunapenda jinsi mkaa unafanya macho yetu yanakuwa mekundu kama tunavuta bangi!
Anakuja mtu mzima anatetea sijui anafikilia kwa kutumia mata**,kabla huja support kwanza uliza kuna njia gani mbadala wametupatia wapikia mikaa,Umeme hatuwez kupikia,Gas hatuna uwezo watupe alternative bhas au kaa washushe bei za nishat nyingine.
Kuna faida gan kusema unatunza mazingira huku raia wanakufa wakikosa namna ya kuishi labda mnawatunzia mazingira wazungu!,nipe mbadala uone kama nitapikia mkaa au mnadhan tunapenda jinsi mkaa unafanya macho yetu yanakuwa mekundu kama tunavuta bangi!