Mugabe one
JF-Expert Member
- Nov 15, 2016
- 2,327
- 1,681
Leo asubuhi nimezurula katika manispaa ya ILEMELA nimejionea kwa macho yangu viwanda vingi vinajengwa Na kwa kasi, japo sikujua vitakuwa vya kutengeneza nn.
Mlioko Nyamhongolo mtuambie with aerial photo please.
Pia MWANZA JIJI Na Ilemela municipal ukuaje wake ni wa kasi sana.Nadhani serikali kuna kitu cha ziada yatakiwa kufanya ili miji yote nchini iwe katika mpangilio bora.
Lakini pia kuna tatizo kwanini ARUSHA imesua sua kupanuka?
Mlioko Nyamhongolo mtuambie with aerial photo please.
Pia MWANZA JIJI Na Ilemela municipal ukuaje wake ni wa kasi sana.Nadhani serikali kuna kitu cha ziada yatakiwa kufanya ili miji yote nchini iwe katika mpangilio bora.
Lakini pia kuna tatizo kwanini ARUSHA imesua sua kupanuka?