mukama talemwa
Senior Member
- Jun 14, 2011
- 160
- 28
Ninilisikitishwa saana na Serikali ya Tanzania kuwazuia ma dr kuadamana kisa kesi hiko mahakamani.Na jana nimesikitishwa zaidi na kauli ya Serikali kuhusu mgomo wa walimu kwa kusema kuwa ni batili kisa eti kesi hiko mahakamani.Hivi jamani hii serikali yetu kuzuia hoja nyingi za msingi kujadiliwa Bungeni na kuzuia watu kudai haki zao kwanjia ya maandamano kwa kukimbilia mahakamani nini tafsiri yake maana sasa imekuwa kaida.Wataalamu wa sheria tusaidieni tutumie njia gani ili tudai haki zetu.