Serikali kujenga soko la samaki na kiwanda kikubwa Geita/Mwanza au Mara kuboost uwanja wa ndege chato

MWITONGO MAARIFA

JF-Expert Member
Aug 11, 2018
276
1,428
Baada ya soko la madini kujengwa Geita serikali inajipanga kujenga kiwanda kikubwa kwa kushikisha wabia mbalimbali lakini pia soko kuu la samaki na kudhibiti utoroshaji wa samaki kwenda soko la nchi jirani.

Hii ni hatua nzuri kwa uchumi lakini pia ajira kwa Kanda ya ziwa huku tukidhibiti upotevu wa mapato kwa kudhibiti utoroshaji wa rasilimali zetu.

Nitoe pongezi kwa jambo hili kubwa litakaloitangaza Mwanza, Geita na Tanzania kwa ujumla.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Baada ya soko la madini kujengwa Geita serikali inajipanga kujenga kiwanda kikubwa kwa kushikisha wabia mbalimbali lakini pia soko kuu la samaki na kudhibiti utoroshaji wa samaki kwenda soko la nchi jirani.

Hii ni hatua nzuri kwa uchumi lakini pia ajira kwa Kanda ya ziwa huku tukidhibiti upotevu wa mapato kwa kudhibiti utoroshaji wa rasilimali zetu.

Nitoe pongezi kwa jambo hili kubwa litakaloitangaza Mwanza, Geita na Tanzania kwa ujumla.



Sent using Jamii Forums mobile app
Samaki wenyewe wameisha sasa cjui watavua nn
 
Baada ya soko la madini kujengwa Geita serikali inajipanga kujenga kiwanda kikubwa kwa kushikisha wabia mbalimbali lakini pia soko kuu la samaki na kudhibiti utoroshaji wa samaki kwenda soko la nchi jirani.

Hii ni hatua nzuri kwa uchumi lakini pia ajira kwa Kanda ya ziwa huku tukidhibiti upotevu wa mapato kwa kudhibiti utoroshaji wa rasilimali zetu.

Nitoe pongezi kwa jambo hili kubwa litakaloitangaza Mwanza, Geita na Tanzania kwa ujumla.



Sent using Jamii Forums mobile app
Hizi nazo ni sound tu kama sound nyingine
 
Huyo tapeli wa kisiasa siku hizi Tanzania ni Geita na Mwanza barabara vivuko viwanja ndege zote root yake mwanza dreamliner airbus wengine bombadier tena zile mbovu kutwa kuachwa vituoni
 
Huyo tapeli wa kisiasa siku hizi Tanzania ni Geita na Mwanza barabara vivuko viwanja ndege zote root yake mwanza dreamliner airbus wengine bombadier tena zile mbovu kutwa kuachwa vituoni
Kwan Kilimanjaro ilikuwaje mpaka Leo kishumundu kuna umeme
 
Back
Top Bottom