Duuuuuuuu! Haya magareza mbona yananitisha vile? Inamana ndo wanataka kutimiza ule msemo wa CCM daima? Ina maana ndo maandalizi ya 2015? Duuuuu ila haina noma kama kura tutalinda tu mpaka kieleweke maana ni heri vita inayotafuta usawa kuliko amani inayopumbaza.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.