Serikali kujenga jengo la makumbusho la ma Rais

Tajiri Kichwa

JF-Expert Member
Apr 2, 2017
9,019
21,913
Wizara ya Maliasili na Utalii imeanza mkakati wa kujenga Makumbusho kubwa Jijini Dodoma ya marais wa Tanzania kwa lengo la kuhifadhi Urithi adhimu wa mchango Mkubwa walioutoa na unaoendelea kutolewa.

Waziri wa Maliasili na Utalii nchini Balozi Dkt Pindi Chana amesema kuwa ujenzi wa Makumbusho hiyo unaenda sambamba na adhma ya Serikali ya kuiendeleza Dodoma kama Makao Makuu ya Serikali.

Chanzo: east Africa radio.
 
Swali la kujiuliza tuna makumbusho ya taifa pale barabara ya shaban robert dar es salaam yana kazi gani ikiwa tunajikita kwenye ujenzi tena.

Ushauri: serikali tuwekeze kwenye maeneo ya msingi. Elimu afya. Ujenzi wa taasisi hovyo haiuwezi tuvusha. Chukulia ujenzi wa soko la pale magomeni dar es salaam hadi leo sijaona umuhimu wake. Jengo ni kubwa wauzaji wachache. Wote wametoshea chini.

Matumizi ya hovyo ndio yanafanya tuone tozo ni wizi
 
Chamsingi yaendane na hadhi ya marais wetu sio kutuletea lile lisanamu la JK Nyerere alolitengeneza kigwangala.

#MaendeleoHayanaChama
 
Back
Top Bottom