Rufiji
Platinum Member
- Jun 18, 2006
- 1,871
- 901
Nimesoma hii habari ambayo waziri mkuu alikuwa akimjibu Lipumba madai kwamba Rais apunguze safari za nje.
Mheshimiwa alianza kwa kusema kuwa ,safari za nje zimemwezesha JK kujitangaza nje na pia kutana na wahisani . Mheshimiwa akuishia hapo akatoa mafanikio yaliyoapatikana ni pamoja na kupata mikopo ya kujenga chuo cha DODOMA na kujenga Bandari Bagamoyo, Mbegani .
Swali langu ni kuwa kuna umuhimu wa kujenga bandari Bagamoyo? Vipi mbona tuna bandari mtwara ambayo ina kina kirefu sana na hatuitumiii kabisa (Underutilized). Je, hawa viongozi wanajua ya kuwa hiyo mkopo at the end of the day inatakiwa kulipwa? Na kwa nini hiyo bandari ijengwe bagamoyo , ambayo hiko karibu sana na Dar?
Kwa nini hiyo mikopo isitumiwe kwenye mambo muhimu badala ya kunufaisha sehemu ambayo Rais wetu ametoka.
Chanzo: Nipashe
Mheshimiwa alianza kwa kusema kuwa ,safari za nje zimemwezesha JK kujitangaza nje na pia kutana na wahisani . Mheshimiwa akuishia hapo akatoa mafanikio yaliyoapatikana ni pamoja na kupata mikopo ya kujenga chuo cha DODOMA na kujenga Bandari Bagamoyo, Mbegani .
Swali langu ni kuwa kuna umuhimu wa kujenga bandari Bagamoyo? Vipi mbona tuna bandari mtwara ambayo ina kina kirefu sana na hatuitumiii kabisa (Underutilized). Je, hawa viongozi wanajua ya kuwa hiyo mkopo at the end of the day inatakiwa kulipwa? Na kwa nini hiyo bandari ijengwe bagamoyo , ambayo hiko karibu sana na Dar?
Kwa nini hiyo mikopo isitumiwe kwenye mambo muhimu badala ya kunufaisha sehemu ambayo Rais wetu ametoka.
Chanzo: Nipashe