fundi msati
JF-Expert Member
- Aug 22, 2013
- 203
- 67
Vije tu Tena waboreshe ikiwezekana kabla hakijapitwa na uda wawe wameshaandaa vingiii tabia naenda na pesa yng alafu wanajibu kuwa eti vimeisha sipendi, maana hawa wakata leseni za biashara niwapigaji balaa kwanza wanakuja wanapo jiskia wenyewe wakikukatia Leo wanjisahaulisha mpakamuda unapita wakikurudia sasa ndy utaomba po! Wanachukua kamtaji kote na ukilipa sasa unapewa stakabadhi ya mjimwengine shez nitaenda kulipa mwenyewe vikija kero za kufingiana biashara sizitaki tena