Duduwasha
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 5,703
- 3,653
http://millardayo.com/wp-content/uploads/2011/12/flavi-61.jpgHivi Huu Uwanja waliununua au Walipewa Bure? hawa Wana Wa Jangwani Jangwa lenye Mafuriko?
Je Manji Ataujenga Upya? Serikali isiwaachie wala kuwaonea Huruma Wahamishe Club yao..
Kama Serikali ikifyata kwa Sababu zisizo elewekaKuwaondoa hapo Walipo na Kuwapa Eneo Lingine Salama,basi Nawashauri Wana Yanga Wawe Wanachukua Tahadhari Kubwa Sababu eneo walilopo ni la Hatari na Ukiwekeza Mwisho wa Siku ni Hasara tu Wawe wanaweka na Bima (Insurance) Ni Muhimu Sana Sasa hali ishatokea wataanza kutembeza Bakuri kona Zote Wajengewe Uwanja.....!
http://millardayo.com/wp-content/uploads/2011/12/flavi-61.jpg
Je Manji Ataujenga Upya? Serikali isiwaachie wala kuwaonea Huruma Wahamishe Club yao..
Kama Serikali ikifyata kwa Sababu zisizo elewekaKuwaondoa hapo Walipo na Kuwapa Eneo Lingine Salama,basi Nawashauri Wana Yanga Wawe Wanachukua Tahadhari Kubwa Sababu eneo walilopo ni la Hatari na Ukiwekeza Mwisho wa Siku ni Hasara tu Wawe wanaweka na Bima (Insurance) Ni Muhimu Sana Sasa hali ishatokea wataanza kutembeza Bakuri kona Zote Wajengewe Uwanja.....!
http://millardayo.com/wp-content/uploads/2011/12/flavi-61.jpg