Serikali kuhamia Dodoma

Kuna vitu kaachieve tayari, elimu bure, kila mwanafunzi atakaa kwenye dawati very soon, kinyerezi 2 inajengwa, project ya flyover inaanza soon, SG railway inaanza soon. Ukitazama bila ushabiki utaona mengi sana.
Hivi katika flyovers ile ya Tazara seriously unaweza kuihesabu? Ile itakuwa junction ambayo inapitisha barabara moja tu juu, ya mjini-uwanja wa ndege, zingine zote pale ni mchezo wa taa kama sasa tu.
 
Mh Rais ni bora ukawa na vipaumbele na vipaumbele vya vipaumbele katika kutekeleza ilani ya chama chako hii ni kwa sababu yapo mambo mengi mno ya kutekeleza. Hili la Kuhamia Dodoma ungejiuliza kulikoni watangulizi wako hawa kulitimiza? Kuhamia kuna gusa maslahi ya nchi na Watanzania wengi kiasi gani?

Vinginevyo wa weza kuishia kulekule kwa wenzako. Hivi ile ikitwa BRN imefikia wapi?
 
Huyu jamaa mpaka anamaliza miaka yake mitano atajikuta hana kitu cha maana mkononi alichokifanya, hivi ni nini kipaumbele? Elimu anatamani iwe bure, matumizi ya kawaida ya serikali anakomaa ayapunguze sana wakati huo huo anataka makusanyo ya kodi yaongezeke sana, kodi hizi anataka zitoke kwa wafanya biashara wakiwemo wa mahoteli ambao biashara zao kwa ujumla zina uhusiano mkubwa sana na matumizi ya kawaida ya Serikali, Mifumo ya kodi anataka iwe tight sana wakati huo huo anaitaka Tanzania ya Viwanda
KAZI IPO
 
Wahamie huko haraka angalia mfano Nigeria , malawi na south Afrika miji ya biashara Kama Lagos na johanebarg , Darban haina harakati za kiserikali ina maendeleo makubwa na Serikali zinafanya kazi Kwa utulivu kwenye miji isiyo na heka heka nyingi .
Wanalijua hilo sema ujeuri tu
 
13707668_1141173962613727_6611870257471852967_n.jpg


Maoni yangu

Hakika kwa Rais Magufuli hakuna litakaloshindika na hakika tutavuka tu.
 
Tukumbushana tu! Dodoma mwisho wa kuhamia lini?.Ahadi ya kwa wapiga kura!
Kuna watu walielekeza mitaji Dodoma na sasa kimya !
 
Back
Top Bottom