Serikali kufungua soko la madini ya Dhahabu Geita

Benki inaangalia production pia siyo soko tu. Pia benki hazitambui mineral right kama dhamana hivyo inatakiwa uwe na vitu vingine vya kuweka zamana

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani wachimbaji wadogo hawana dhamana? Kifupi unaongelea mifumo ya kibenki ya kizamani iliyojaa maafisa wa benki wasio na elimu za madini wanaojua dhamana ni nyumba nk .Nenda mabenki ya nje wana Hadi ma CEO wa benki engineers.Mfano unakuta benki ikiona faida kubwa itapatikana kwenye mikopo ya ujenzi unakuta ina ma loan officers wenye taaluma za ujenzi na uhandisi kibao .Ukiajiri loan officer mwenye degree ya business administration mradi wa mgodi atatoa mapendekezo gani Kama sio kuongelea vitu hewa tu Kama hivi vyako.Sababu hajui content za hiyo mine ,nk
 
Itakuwa sawa na ukuta mliojenga Mererani, ni sawa kuua inzi kwa bunduki. Nani kawaaambia tatizo ni sehemu ya kuuzia?
Yangu macho ndani ya miaka miwili ijayo mtaishia kufungia mbuzi na ngombe
 
Kwani wachimbaji wadogo hawana dhamana? Kifupi unaongelea mifumo ya kibenki ya kizamani iliyojaa maafisa wa benki wasio na elimu za madini wanaojua dhamana ni nyumba nk .Nenda mabenki ya nje wana Hadi ma CEO wa benki engineers.Mfano unakuta benki ikiona faida kubwa itapatikana kwenye mikopo ya ujenzi unakuta ina ma loan officers wenye taaluma za ujenzi na uhandisi kibao .Ukiajiri loan officer mwenye degree ya business administration mradi wa mgodi atatoa mapendekezo gani Kama sio kuongelea vitu hewa tu Kama hivi vyako.Sababu hajui content za hiyo mine ,nk
Hahahahahahh. Sheria ya madini mpya hairuhusu kwenda kukopa out of Tz. Ikiwa kunaumuhimu huo basi waambie BOT wakakukopee huko but mabenk ya huko nayo yanasema BOT haaminiki hivyo hayawezi kukopesha patamu na nyie wenyewe mmetufikisha hapa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom