Na ndio hizo hizo zinawapa ruzuku. Kuweni na shukrani basi? Bila CCM kuwepo sijui nyie wengine mngekuwa wapi?..acha uongo.
..barrick ndio walioanzisha acacia na waliokuwa na hisa nyingi zaidi.
..vigogo wa ccm ndio waliowaleta barrick na acacia nchini na kuwafungulia milango wajichotee madini.
..walioruhusu barrick watulipe kishika uchumba cha usd 300 million, badala ya deni la usd 191 billion, ndio wezi wakubwa na vibaraka wa mabeberu.
Kifupi:
Mgodi ukifika CUT OFF GRADE ni kufunga tu.
Sasa kama huu ulifungwa kwa kufika cut off grade sijui serikali wana mbinu gan ya kuuendesha kwa faida.
Vinginevyo labda haukufika huko
------
Cut-Off grade is the minimum grade required in order for a mineral or metal to be economically mined (or processed)
Acha kutudanganya,vipi sehemu nyingine za dunia ambapo hamna huyo mnyama wa kijani,Maisha si bora zaidi.Na ndio hizo hizo zinawapa ruzuku. Kuweni na shukrani basi? Bila CCM kuwepo sijui nyie wengine mngekuwa wapi?
Majungu hayo, hama nchi kwani lazima uishi Tanzania? UK wana vyama viwili tu vikubwa na wanabadilishana USA vile vile wana vyama vikubwa viwili tu na ndio vinabadilishana. Mlizoea enzi zenu chuma kiko Ikulu sasa wacha kiwasafishe. Una haki ya kuhamia Bengal!Acha kutudanganya,vipi sehemu nyingine za dunia ambapo hamna huyo mnyama wa kijani,Maisha si bora zaidi.
Kama lissu alivyoolewa na mabeberu Wa ubeligiji?Utaolewa we bwege
Unatuumiza macho na marangi yako ya kusisitiza unayo amini wewe.Majungu hayo, hama nchi kwani lazima uishi Tanzania? UK wana vyama viwili tu vikubwa na wanabadilishana USA vile vile wana vyama vikubwa viwili tu na ndio vinabadilishana. Mlizoea enzi zenu chuma kiko Ikulu sasa wacha kiwasafishe. Una haki ya kuhamia Bengal!
Moja kati ya parameters zinazotumika kutambua cut-off grade ya mgodi ni gharama za method inayotumika.. Cut-off grade inatofautiana kulingana na utofauti wa method inayotumika.
Binafsi bado sioni sababu ya kupinga kama muwekezaji amehakikisha anayo mbinu itakayomfanya apate faida. Cha msingi sheria zote zifuatwe.
Hakuna muwekezaji anataka kufanya KAZI YA HASARA. Kama vile ambavyo biashara binafsi zinafungwa nyingi, migodi nayo inafungwa sababu hakuna faida. Sirikali angalieni kodi zenu na regulations zenu. Watz ndio wataumia mwisho wa siku.PAMOJA na mmiliki wa sasa wa mgodi wa dhahabu wa Buzwagi, kampuni ya Acacia Mining, kutangaza kutaka kufunga mgodi wake, serikali ya Tanzania imesema, mgodi huo, uatendelea kufanya kazi. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam … (endelea).
Acacia iliamua kuufunga mgodi wake wa Buzwagi, uliyopo wilayani Kahama, mkoani Shinyanga, baada ya kujiridhisha kuwa utajiri wa madini uliyopo katika eneo hilo, umemalizika.
Taarifa ya mgodi huo kuendelea kutumika, imetolewa leo Jumanne, tarehe 19 Januari 2021 na Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje na Uhusiano wa Kimataifa, Prof. Palamagamba Kabudi, wakati wa hafla ya utiaji saini mkataba kati ya serikali ya Tanzania na kampuni ya Madini ya LZ Nickel Limited.
Akizungumza katika halfa hiyo, mbele ya rais John Magufuli, Prof. Kabudi alisema, “faida kubwa ya mradi huu, ni kuanza matumizi mbadala ya miundombinu iliyokuwa inatumika kwenye uendeshwaji wa mgodi wa Buzwagi, ambao unatarajiwa kufungwa hivi karibuni.”
Alisema, muwekezaji huyo mpya, ameomba kwa serikali kuruhusu kutumika kwa miundombinu ya mgodi wa Buzwagi, pindi mgodi huo utakapofungwa.
Aidha, kampuni hiyo imeomba kibali cha kuchenjua masalia ya madini yaliyoko katika mgodi wa Buzwagi, kwa maelezo kuwa teknolojia yake ya kuchenjua masalia hayo kuwa madini, yaweza kufanya kazi hiyo.
Alisema, “…mheshimiwa rais, wawekezaji hawa wameomba mgodi huu utakapofungwa wauchukue ili badala ya kufungwa ufanye kazi nyingine, ili kuuongezea uhai zaidi sababu wanasema yale masalia yaliyoko pale Buzwagi bado yana madini.”
Ameongeza, “…na kwa teknolojia hii mpya, bado watavuna madini haya ambayo sasa ni rundo. Teknolojia ya wale ilikuwa haiwezi kuyachenjua. Hawa wanaweza; sasa masalia yote ya Buzwagi yatarudishwa tena kwenye mitambo na kutoa madini.”
Prof. Kabudi alitoa taarifa hiyo wakati anataja faida za mkataba huo wa uchimbaji madini ya Nickel katika mgodi wa Kabanga mkoani Kagera na ujenzi wa Kiwanda uchakataji madini mkoani Shinyanga.
Ametaja faida nyingine za mradi huo, ni kuongezeka kwa ukuaji wa uchumi kupitia sekta ya madini.
“Mradi huu utaongeza ukuaji wa sekta ya madini, kwa kuanzisha na kuendeleza uchimbaji wa madini ya Nickel na madini muambata kama kopa na kobati,” ameeleza
Sio kweli Barrick walitafuta management company ya kuendesha mgodi tenda wakashinda kampuni ya acacia katika malipo na incentive walizopewa ni hisa kidogo kuwa pamoja na malipo watakayolipwa pia watapewa hisa ni kama Tanzania brewerias walipokuja walimpa managing director Arnold Kileo hisa kuwa pamoja na malipo ya ku manage wakampa hisa moja
Acacia walipishika management ya mgodi ndio wakaanza kuiibia Tanzania na main shareholders Barrick ndio maana serikali ilikataa katakata kujadiliana chochote na management Accacia ikataka kujadili na main shareholder Barrick aliyemwajiri Acacia
Akina Lisu Fatuma karume na Tundu Lisu wakawa wanaikingia kifua management company ya Acacia ndio kibaka Lisu akawa akitutishia kuwa Acacia itatupeleka MIGA!!! Yaani anatushia eti management itatupeleka MIGA
Dk Magufufuli akakomaa na main shareholders anawaambia Acacia siongei na mbwa naongea na mwenye mbwa Barrick.Leo ndio haya matunda tunayaona Acacia vibaka walifunga mgodi wakitishia nyau kwa ushauri wa vibaka Lissu Fatuma karume na zitto kabwe leo mgodi huo unaendelea! Barrik oyeee Dk Magufuli hoyee Tundu Lisu ziiiii Fatuma Karume ziiiii Zito Kabwe ziiiiiii
Walisaini mikataba iliyoandaliwa na mwanasheria mkuu mtemi ChengeLisu Fatuma karume na zitto kabwe ni professional thieves wanaotumia taaluma zao kuibia watanzania na foreigners
Vipi habali ya akina covid 19 bado mnapiga kerere au mlishatulia mnajivhoea ruzuku tu?Wewe hata akikitukana utamtukuza tu maana akili yako ushaiwekea mipaka.
Kampuni kama yapi markez ikimaliza mkataba wa ujenzi wakaacha kambi yao mikononi mwa serikali, na wananchi wa eneo hilo wakaamua kuitumia kufungua shule ya sekondari au chuo cha ufundi kuna ubaya gani?Porojo tu.
Kutumia mabanda yalioachwa kama madarasa, soko ama makazi ndiyo kufufua mgodi??
Rubbish!!!
Ulikuwa ni utani tu, ulikosea baada ya neno kufika ukaandika kufila cutoff.....Nimetoa maoni yangu kuhusu hiyo Cut Off Grade.
Sawa Asante, nitauchunga
nikasema sasa huyu jamaa ni mtu asiyejulikana. Ngoja nishike adabu zangu tuUlikuwa ni utani tu, ulikosea baada ya neno kufika ukaandika kufila cutoff.....
Mimi najulikana mkuunikasema sasa huyu jamaa ni mtu asiyejulikana. Ngoja nishike adabu zangu tu
Kajifunze kuandika Kiswahili fasaha ndipo uje tujadiliane.V
Vipi habali ya akina covid 19 bado mnapiga kerere au mlishatulia mnajivhoea ruzuku tu?
Hoja ya Kabudi ni ya kipuuzi kabisa. Inawafaa wajinga wa sekta hii.
Kifupi:
Mgodi ukifika CUT OFF GRADE ni kufunga tu.
Sasa kama huu ulifungwa kwa kufika cut off grade sijui serikali wana mbinu gan ya kuuendesha kwa faida.
Vinginevyo labda haukufika huko
------
Cut-Off grade is the minimum grade required in order for a mineral or metal to be economically mined (or processed)