Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,108
- 18,325
Serikali imesema itaendelea kununua ndege katika mkakati wa kuikwamua Tanzania kutoka kwenye lindi la umaskini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
HA HA HA MBAVU ZANGUSerikali imesema itaendelea kununua ndege katika mkakati wa kuikwamua Tanzania kutoka kwenye lindi la umaskini.View attachment 1350906
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyakanazi /Kibondo/Kasulu hiyo hata kwa kuangalia mara moja tu!.HA HA HA MBAVU ZANGU
AMA KWELI UNAJUA KbuUWAKILISHA UJUMBE
HAYA TUAMBIE NI WAPI HAPO MAGARI YAMEKWAMA ILI WENYEWE WACHUKUE HATUA
a edit aweke maelezo vizuri kabisa ujumbe wake ufikie wahusikaNyakanazi /Kibondo/Kasulu hiyo hata kwa kuangalia mara moja tu!.
Tunahimzwa tulime ili tujiajiri. Sasa unies na mazo shambani kwa barabara hizi si yanaozea shambani.
Ndege haziwezi kuondoa umasikini wananchi wa Ethiopia wasingekua wanaikimbia nchi yao
Kabudi jana kawashauri Ethiopia wajiulize raia wao wanakwama wapi hadi lindi la vijana wao kukimbilia nje.Tujitazame nasi lindi la umoja wa kitaifa na ustawi shakani, zipo kampeni nchi nzima ccm pekee, uvccm wanawakusanya vijana sharti wawe ccm kuwaunganisha na fursa mikopo ya kisheria toka halmashauri , manispaa na majiji.Tujitathimini pia kijani hakitavalika mtaani kwa mbegu ya chuki ccm wanayopanda.Ndege haziwezi kuondoa umasikini wananchi wa Ethiopia wasingekua wanaikimbia nchi yao
Jana nilimshangaa Kabudi anawaambia wa Ethiopia kuwa serikali yao iangalie jinsi ya kuzuia raia wao kukimbia nchi ... Nikawaza sana ninakumbuka ule msemo wa Nyani haoni kundu le...Ndege haziwezi kuondoa umasikini wananchi wa Ethiopia wasingekua wanaikimbia nchi yao
Hiyo slogan ndiyo ya kampeni za Uchaguzi wa 2020?Naiona ikijirudiarudia kila mkibanwa mbavu.
Tunahimzwa tulime ili tujiajiri. Sasa kama nina mazao shambani kwa barabara hizi si yanaozea shambani.
... huliona la mwenziwe na kuanza kumcheka!Jana nilimshangaa Kabudi anawaambia wa Ethiopia kuwa serikali yao iangalie jinsi ya kuzuia raia wao kukimbia nchi ... Nikawaza sana ninakumbuka ule msemo wa Nyani haoni kundu le...
Karibia mika 60 tukiamua mambo yetu sisi wenyewe, ikiwa ni pamoja na mipango yetu ya maendeleo!Unanunua ndege shule hazina walimu wala miundombinu halafu unaenda kutafuta pilot nje ya nchi na kuwalipa pesa za kutupwa ndio akili matope ya urais wa Magufuli.