Yaani serikali yetu inatakiwa kuangalia manufaa ya nchi kwa ujumla kwenye swala hili la Lissu kupigwa risasi.
1. Serikali imefanya makosa makubwa kwa wafanyakazi wake kujihusisha na shughuli za kigaidi hivi
2. Kuna Wafanyakazi wengi wa serikali ambao hawana hatia lakini wanaonekana kama wana support hizi njama.
Yaani mabalozi wetu waanze kufanya kazi ya kutetea swala ambalo lipo wazi wazi ni kuwavunjia heshma yao na ya nchi yetu. Tumekuwa na wafanyakazi wa serikalini wanaonekana kana watoto au wajinga kutetea swala hili ambalo haliwezi kabisa kulitetea kwa mtu mwenye akili timamu.
Maendeleo ya nchi kama kununua ndege, maji , madawati, kujenga zaanati na trini hazina uhusiano wowote na mwanasiasa kupigwa risasi. Hivyo wanaosema eti ukiongelea issue ya Lissu uongelea miradi wanakosea maana haya mambo ni tofauti.
Serikali kama kweli hili swala sio ustaarabu wetu basi tukubali makosa, ombeni msamaha kwa Watanzania, wahusika washitakiwe, Lissu apewe settlement zake zote za maumivu na nchi yetu iendelee na maendeleo. Bila hivyo hili swala litakaa kwa miaka na miaka na ku cost sana
1. Serikali imefanya makosa makubwa kwa wafanyakazi wake kujihusisha na shughuli za kigaidi hivi
2. Kuna Wafanyakazi wengi wa serikali ambao hawana hatia lakini wanaonekana kama wana support hizi njama.
Yaani mabalozi wetu waanze kufanya kazi ya kutetea swala ambalo lipo wazi wazi ni kuwavunjia heshma yao na ya nchi yetu. Tumekuwa na wafanyakazi wa serikalini wanaonekana kana watoto au wajinga kutetea swala hili ambalo haliwezi kabisa kulitetea kwa mtu mwenye akili timamu.
Maendeleo ya nchi kama kununua ndege, maji , madawati, kujenga zaanati na trini hazina uhusiano wowote na mwanasiasa kupigwa risasi. Hivyo wanaosema eti ukiongelea issue ya Lissu uongelea miradi wanakosea maana haya mambo ni tofauti.
Serikali kama kweli hili swala sio ustaarabu wetu basi tukubali makosa, ombeni msamaha kwa Watanzania, wahusika washitakiwe, Lissu apewe settlement zake zote za maumivu na nchi yetu iendelee na maendeleo. Bila hivyo hili swala litakaa kwa miaka na miaka na ku cost sana