Serikali kuanza kuwatambua wateja wa ATCL kwa lengo la kuwapatia huduma za ziada

Huduma hiyo inaitwa "frequent flyer" kimombo.

Ni huduma inayotumika kwenye mashirika mengine ya ndege kwa miaka mingi sasa. Ni njia mojawapo ya kulinda wateja wenu wanaosafiri sana kwa ndege zenu wasihamie mashirika mengine. Msafiri akishaingizwa kwenye huduma hiyo basi kuna mambo fulani anafaidika nayo.

Mfano kuna mashirika unaweza kupewa upgrade ya tiketi yako kutoka daraja la kawaida kwenda daraja la biashara. Au kupatiwa hotel kwa punguzo la bei. Au kupatiwa tiketi ya bure kila safari kadhaa.

Ni mengi tu, inategemea na ubunifu wa kila shirika.

Dunia ya sasa ni dunia ya ushindani.

"The fittest of the fittest shall survive" - Bob Marley.
Naona umenuna
 
Shikamoo

akishaimgizwa = akishaingizwa
anafaidoka = anafaidika
uogtade = upgrade
kuroka = kutoka
kaqaida = kawaida
kuopatiwa = kupatiwa

Punguza ugoro bibi, Jumapili njema
Hongera kwa kuliona hilo kutoka kwa huyo mpenda kukosoa
 
.....wate wote ni wake ila hawapandi !?
Inakuwaje sasa ? Kupanga uongo kazi nayo !
Sawa ila kashafukuza mashirika mengine kama fastjet, kwahiyo anashindana na nani? Wateja wote niwakwake ila hawapandi why? hapo ndo ujue uchumu mbovu disposable income kwa watumishi na wafanya biashara imeshuka sana kuona kwamba kupanda ndege kuenda mkoani ni luxury
 
Naunga mkono hoja naiona kabisa ATCL ikiwa monopoly company kuanzia sasa wakiongeza ndege na kufanyia kazi malalamiko ya wateja.
 
Hee,,,, bibi kumbe nae anakoseaga!!

Anavyo wakosoaga wenzie nikadhani na yeye amekamilika
mkamilifu ni alla tu,,,yechu yechu
Shikamoo

akishaimgizwa = akishaingizwa
anafaidoka = anafaidika
uogtade = upgrade
kuroka = kutoka
kaqaida = kawaida
kuopatiwa = kupatiwa

Punguza ugoro bibi, Jumapili njema
 
Shikamoo

akishaimgizwa = akishaingizwa
anafaidoka = anafaidika
uogtade = upgrade
kuroka = kutoka
kaqaida = kawaida
kuopatiwa = kupatiwa

Punguza ugoro bibi, Jumapili njema
Umesahau na hili
kupeqa= Kupewa
 
Ahsante, nimerekebisha.

Simu ya Kichina hii bado inajifunza Kiswahili na Kiingereza.
Wenzako walivyokuwa wanazitumia simu hizo na kukosea kama ulivyofanya, bado unawaambia " shule mnaenda kusomea ujinga"? Je. Uko tayari kuwaomba radhi kwa kauli yako hiyo ya kiuonevu?!
 
View attachment 1246044

Hayo yamesemwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi Dr Leonard Chamuriho wakati wa Sherehe ya Mapokezi ya ndege mpya Jijini Dar es salaam .

Bado haijafahamika huduma za ziada zitakazotolewa nje ya zile zinazofahamika kwenye ndege zitakuwa huduma gani na zenye lengo gani .

Bila ya shaka wanataka kuanzisha 'reward program'. Kwamba, kila unaposafiri unapata (earn) pointi za kiasi fulani na ukifisha kiasi fulani unaweza kupata kwa mfano:
- Free ticket
- Hotel
- Meal
n.k

Na kwa mfano ukifikisha kiasi fulani cha juu kweli kweli basi wanaweza kukupa tiketi au vacation package (siku saba kula na kulala kwenye hoteli fulani ya kitalii).

So ni jambo zuri
 
Huduma hiyo inaitwa "frequent flyer" kimombo.

Ni huduma inayotumika kwenye mashirika mengine ya ndege kwa miaka mingi sasa. Ni njia mojawapo ya kulinda wateja wenu wanaosafiri sana kwa ndege zenu wasihamie mashirika mengine. Msafiri akishaingizwa kwenye huduma hiyo basi kuna mambo fulani anafaidika nayo.

Mfano kuna mashirika unaweza kupewa upgrade ya tiketi yako kutoka daraja la kawaida kwenda daraja la biashara. Au kupatiwa hotel kwa punguzo la bei. Au kupatiwa tiketi ya bure kila safari kadhaa.

Ni mengi tu, inategemea na ubunifu wa kila shirika.

Dunia ya sasa ni dunia ya ushindani.

"The fittest of the fittest shall survive" - Bob Marley.

Usihangaike sana unapewa ''air miles'' Ukifikisha kiwango flani, unapata ticket au unapewa ticket kwa discount price - asilimia hupangwa na shirika husika mfano 40% au 80% pungufu nk.


Ops ''huko shule mnaendaga kusomea nini?"
 
Back
Top Bottom