Serikali kuanza kuwatambua wateja wa ATCL kwa lengo la kuwapatia huduma za ziada

Yup.

Call them sky miles, frequent flyer miles, etc.

Ni loyalty program.

Now let me go back and check how many sky miles I have with Delta Air Lines....
I will do check my Fly Blue Membership with KLM Royal Dutch Airlines too, lol.
 
Wafanye wawezavyo, hata ikiwezekana kutupeleka majumbani wateja wao.

Swali langu, kwa wajuvi wa haya ma ndege humu. Ikiwa serikali imekodisha hizi ndege kwa ATCL, hawa wanalipa serikali gharama za kukodishiwa na matengenezo, au wanalipia ukodishaji pekee halafu matengenezo ni kwa mwenye ndege zake?!
 
Wafanye wawezavyo, hata ikiwezekana kutupeleka majumbani wateja wao.

Swali langu, kwa wajuvi wa haya ma ndege humu. Ikiwa serikali imekodisha hizi ndege kwa ATCL, hawa wanalipa serikali gharama za kukodishiwa na matengenezo, au wanalipia ukodishaji pekee halafu matengenezo ni kwa mwenye ndege zake?!

Nilisikia jana kwamba tangu wameanza wameweka kwenye account ya Serikali USD 15 million nafikiri hiyo ndio faida waliyoipata so far.
 
Kwenye taarifa hii ulimbukeni wangu ni upi ? maana nimenukuu vile Katibu Mkuu alivyoeleza , hayo mnayoeleza nyinyi mh hakuyasema , sasa kuuliza imekuwaje kosa ?

Unakabiliana na watu ambao kwao kila rangi ni nyekundu.
Usibembeleze huruma.
Appealing to reason will be even less likely to help.
 
Usihangaike sana unapewa ''air miles'' Ukifikisha kiwango flani, unapata ticket au unapewa ticket kwa discount price - asilimia hupangwa na shirika husika mfano 40% au 80% pungufu nk.


Ops ''huko shule mnaendaga kusomea nini?"
Nihangaike mimi? Umesoma nilichoandika?

Uliyoandika wewe ni mojawapo tu ya options kijana. Kila shirika lenye mpango wa "frequent flyer" lina "options" zake na hayapo "uniform".

Nimeanza kuruka na madege haya bado hujazaliwa.
 
Nihangaike mimi? Umesoma nilichoandika?

Uliyoandika wewe ni mojawapo tu ya options kijana. Kila shirika lenye mpango wa "frequent flyer" lina "options" zake na hayapo "uniform".

Nimeanza kuruka na madege haya bado hujazaliwa.

Wacha uongo mimi nina umri mkubwa kuliko wewe. Halafu mimi nimeanza kupanda hizi ndege nikiwa na umri wa miaka 5.
 
Nilisikia jana kwamba tangu wameanza wameweka kwenye account ya Serikali USD 15 million nafikiri hiyo ndio faida waliyoipata so far.
Sasa hizi ni kodi ?! Au faida kama walivyoiita?! Kwani waliingia ubia au mmiliki ni serikali na wao wamekodishiwa tu kama ambavyo wangeamua kumkodisha fastjet au shirika lolote lile?!
Faida ya ATCL inaihusu nini serikali kama imemkodishia ndege kwa ujira?!
Mi nilidhani serikali ingejikita kudai kodi yake tu, why ianze kumchunguza uliyemkodishia ndege kufanya biashara?!
 
Nihangaike mimi? Umesoma nilichoandika?

Uliyoandika wewe ni mojawapo tu ya options kijana. Kila shirika lenye mpango wa "frequent flyer" lina "options" zake na hayapo "uniform".

Nimeanza kuruka na madege haya bado hujazaliwa.
Hahaha unaweza kuta ni mzee mwenzio, nendeni taratibu mtaelewana tu.
 
Sasa hizi ni kodi ?! Au faida kama walivyoiita?! Kwani waliingia ubia au mmiliki ni serikali na wao wamekodishiwa tu kama ambavyo wangeamua kumkodisha fastjet au shirika lolote lile?!
Faida ya ATCL inaihusu nini serikali kama imemkodishia ndege kwa ujira?!
Mi nilidhani serikali ingejikita kudai kodi yake tu, why ianze kumchunguza uliyemkodishia ndege kufanya biashara?!

Mkuu ulifuatilia kwa nini serikali ilifanya hivyo? Air Tanzania haiwezi kununua ndege kwa sababu walizokuwa nazo zilifilisika enzi ya Mkapa na JK. Kwa hiyo ulikuwa unataka na hizi zipotee kimiujiza? Mwacheni JPM afanye anavyotaka maana ndio alipewa dhamana ya kuongoza nchi, majibu 2020 kwenye uchaguzi kama wewe hupendi.
 
Mkuu ulifuatilia kwa nini serikali ilifanya hivyo? Air Tanzania haiwezi kununua ndege kwa sababu walizokuwa nazo zilifilisika enzi ya Mkapa na JK. Kwa hiyo ulikuwa unataka na hizi zipotee kimiujiza? Mwacheni JPM afanye anavyotaka maana ndio alipewa dhamana ya kuongoza nchi, majibu 2020 kwenye uchaguzi kama wewe hupendi.
Hahaha wapi nimeinga?! Ebu soma vizuri uone kama kuna kilichopingwa humo.
 
Shikamoo

akishaimgizwa = akishaingizwa
anafaidoka = anafaidika
uogtade = upgrade
kuroka = kutoka
kaqaida = kawaida
kuopatiwa = kupatiwa

Punguza ugoro bibi, Jumapili njema
Ha ha ha...
 
Shikamoo

akishaimgizwa = akishaingizwa
anafaidoka = anafaidika
uogtade = upgrade
kuroka = kutoka
kaqaida = kawaida
kuopatiwa = kupatiwa

Punguza ugoro bibi, Jumapili njema
Duh leo umemkamata kibibi fimbo cheza haaaaaaa
 
Back
Top Bottom