msovero
JF-Expert Member
- Jun 30, 2019
- 839
- 1,472
Serikali inatarajia kuajiri walimu wengine wapya hususani wa masomo ya sayansi na hisabati ili kukabiliana na upungufu mkubwa wa walimu wa masomo hayo katika shule za sekondari nchini.
Hayo yamesemwa na waziri wa nchi ofisi ya Rais-TAMISEMI, mheshimiwa Ummy Mwalimu(mb) akiwa ziarani katika mkoa wa Kigoma.
Katika hatua nyingine, waziri Ummy amezitaka shule zote za sekondari nchini zilizo na mapungufu ya walimu wa masomo ya sayansi kuainisha mahitaji yao ili serikali iweze kupeleka walimu wa masomo ya fizikia, kemia, biolojia pamoja na hesabu ili kuhakikisha kila shule ya sekondari inapata walimu wa masomo hayo.
OR-TAMISEMI
Hayo yamesemwa na waziri wa nchi ofisi ya Rais-TAMISEMI, mheshimiwa Ummy Mwalimu(mb) akiwa ziarani katika mkoa wa Kigoma.
Katika hatua nyingine, waziri Ummy amezitaka shule zote za sekondari nchini zilizo na mapungufu ya walimu wa masomo ya sayansi kuainisha mahitaji yao ili serikali iweze kupeleka walimu wa masomo ya fizikia, kemia, biolojia pamoja na hesabu ili kuhakikisha kila shule ya sekondari inapata walimu wa masomo hayo.
OR-TAMISEMI