johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,915
- 141,869
Waziri wa elimu Prof Mkenda amesema kutokana na ongezeko la madarasa ya uviko pamejitokeza hitaji la walimu wapya hivyo Serikali itaajiri walimu 7000 kukata kiu hiyo.
Chanzo: ITV habari
Chanzo: ITV habari