At Calvary
JF-Expert Member
- Aug 22, 2018
- 4,513
- 3,554
Ndo SHIDA ya kutegemea waganga.
Mpira NI saa 1 USIKU.
Ila Yanga Bwana.
Ndo SHIDA ya kutegemea waganga.
Mpira NI saa 1 USIKU.
Yaani anatokea mtu mmoja kwa sababu ana madaraka tu anaagiza ratiba ya tukio kubwa kama hili liahirishwe, bila kujali maelfu ya wananchi ambao wako uwanjani, Hiki ni kiburi cha madaraka!
Tabu ni kwa mashabiki waliosafiri toka mbali kama Morogoro na Tanga ambao walitaraji kugeuza mapema baada ya mechi...
Sent using Jamii Forums mobile app
hili dude nalo limekuwa bavicha?Bavicha acheni nongwa!
Wanzanzibari watu wa hovyo sana
Tuna fanana kabisa hi ligi ya wa upuuzi sana siasa nasubilia match ya Barcelona na A Madrid tu.Ndio maana niliacha kufuatilia this foolish league ya Tanzania miaka mingi.
Unajua kuna wakati unaweza ukajiuliza hivi tuna viongozi wa serikali wa namna gani.
Inafahamika wazi kuwa ratiba ya Ligi inapangwa muda mrefu na bila shaka kwa kuzingatia matukio mbalimbali makubwa ya Kitaifa na kwa kanuni za Ligi
Sasa inashangaza Leo, mchezo ukiwa umebakisha masaa mawili tu, Serikali inaiagiza TFF kubadili ratiba ya mchezo huu wakati kukiwa na maelfu ya wananchi Uwanjani. Hili ni kosa, Serikali imewakosea sana wananchi.
Kwanza ni lini serikali ikawa na mamlaka ya kupanga ratiba za ligi?
Pili, Serikali inataka Kuwachonganisha wananchi na Mzee wetu mzee Mwinyi, Mtu asiyependa makuu, Kwa nini mlifanye tukio lake kuwa ni adha kwa wengine?—Je mzee Mwinyi ndiye aliyewatuma kubadili ratiba ya mambo mengine ya kijamii kwa ajili yake binafsi?
Huu utaratibu wa kufanya mambo kwa zimamoto zimamoto ni dalili za serikali dhaifu, isiyojiamini inayokurupuka!
Tunataka yeyote aliyehusika kubadili ratiba hii ya mchezo, ambayo wananchi walishawekeza akili zao na muda wao achukuliwe hatua mara moja! . Hatuwezi kuvumilia mikurupuko kama hii.
Na isitokee mkasingizia kuhusu Mfungo wa Ramadhani, Suala la ramadhani lilishajulikana toka mfungo ulipoanza kwa hiyo msisingizie eti kuwapa Waislamu muda mzyri wa kufuturu, Kwanza hata huo muda wa saa moja jioni Waislamu watakuwa bado wanafuturu kwa hiyo Msituletee hoja hii!
Tunataka serikali isifanye mambo kwa sababu yenyewe ina uwezo wa kutoa amri, bali lazima itekelezwe, lazima iheshimu timetable za wananchi.
Nimekereka sana na uamuzi huu wa Serikali kuingilia ratiba za Mpira, Ni mambo ya ajabuajabu kabisa haya!
Hii game sidhani kama itachezwa tena, psychollogy za wachezaji na viongozi zimeshavurugika, hao wapiga kelele wataondoka muda sio mrefu, Yanga wameshaanza kuondoka uwanjani.Aisee. Inabidi hapa mtaani kwetu tuendelee tu kuvumilia kelele zao za vuvuzela....
Kanuni za ligi lazima ziheshimiwe, siyo kuendesha ligi kama ndondo cupTFF HAO wakaidi wakitoa timu uwanjani wapigwe faini.
mpira ule ule tofauti masaa Tu.
Hatakama ikichezwa haitakuwa na amsha amsha yeyoteHii game sidhani kama itachezwa tena, psychollogy za wachezaji na viongozi zimeshavurugika, hao wapiga kelele wataondoka muda sio mrefu, Yanga wameshaanza kuondoka uwanjani.
Kanuni za ligi lazima ziheshimiwe, siyo kuendesha ligi kama ndondo cup
Unajua kuna wakati unaweza ukajiuliza hivi tuna viongozi wa serikali wa namna gani.
Inafahamika wazi kuwa ratiba ya Ligi inapangwa muda mrefu na bila shaka kwa kuzingatia matukio mbalimbali makubwa ya Kitaifa na kwa kanuni za Ligi
Sasa inashangaza Leo, mchezo ukiwa umebakisha masaa mawili tu, Serikali inaiagiza TFF kubadili ratiba ya mchezo huu wakati kukiwa na maelfu ya wananchi Uwanjani. Hili ni kosa, Serikali imewakosea sana wananchi.
Kwanza ni lini serikali ikawa na mamlaka ya kupanga ratiba za ligi?
Pili, Serikali inataka Kuwachonganisha wananchi na Mzee wetu mzee Mwinyi, Mtu asiyependa makuu, Kwa nini mlifanye tukio lake kuwa ni adha kwa wengine?—Je mzee Mwinyi ndiye aliyewatuma kubadili ratiba ya mambo mengine ya kijamii kwa ajili yake binafsi?
Huu utaratibu wa kufanya mambo kwa zimamoto zimamoto ni dalili za serikali dhaifu, isiyojiamini inayokurupuka!
Tunataka yeyote aliyehusika kubadili ratiba hii ya mchezo, ambayo wananchi walishawekeza akili zao na muda wao achukuliwe hatua mara moja! . Hatuwezi kuvumilia mikurupuko kama hii.
Na isitokee mkasingizia kuhusu Mfungo wa Ramadhani, Suala la ramadhani lilishajulikana toka mfungo ulipoanza kwa hiyo msisingizie eti kuwapa Waislamu muda mzyri wa kufuturu, Kwanza hata huo muda wa saa moja jioni Waislamu watakuwa bado wanafuturu kwa hiyo Msituletee hoja hii!
Tunataka serikali isifanye mambo kwa sababu yenyewe ina uwezo wa kutoa amri, bali lazima itekelezwe, lazima iheshimu timetable za wananchi.
Nimekereka sana na uamuzi huu wa Serikali kuingilia ratiba za Mpira, Ni mambo ya ajabuajabu kabisa haya!
Madhara ya kuwa Rais bila kupitia sanduku la kura.Yaani anatokea mtu mmoja kwa sababu ana madaraka tu anaagiza ratiba ya tukio kubwa kama hili liahirishwe, bila kujali maelfu ya wananchi ambao wako uwanjani, Hiki ni kiburi cha madaraka!