EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,713
- 35,518
Habarini za asubuhi wadau,
Leo nikiwa njiani kuelekea kibaruani nikasikia kwenye radio kwamba sasa Serikali imeamua kuagiza mafuta yenyewe moja kwa moja kutoka kwa wazalishaji.
Nikajiuliza inamaana miaka yoote hii tunapigwa na watu-kati Serikali haikuona?
Je, hapa sio kwamba kuna wajanja wanataka kutupiga na bei itabaki palepale?
Huu utitiri wa tozo, Kodi utapungua ili kushusha bei ya mafuta?
Leo nikiwa njiani kuelekea kibaruani nikasikia kwenye radio kwamba sasa Serikali imeamua kuagiza mafuta yenyewe moja kwa moja kutoka kwa wazalishaji.
Nikajiuliza inamaana miaka yoote hii tunapigwa na watu-kati Serikali haikuona?
Je, hapa sio kwamba kuna wajanja wanataka kutupiga na bei itabaki palepale?
Huu utitiri wa tozo, Kodi utapungua ili kushusha bei ya mafuta?