Lwiva
JF-Expert Member
- Apr 17, 2015
- 12,499
- 17,572
We matakoo umesikia walichokuwa wanasema baada ya video kuzibwa kuwa siri ifichweUjinga ni mzigo mzito sana. Unataka watu waendelee kuchukuwa video ya mtu mgonjwa? Hili uliliona wapi duniani? Huoni hata wachezaji wa mpira wanapopatwa na jambo la ghafla kama kuanguka kamera zote zinaacha kurekodi tukio. Anyways vitu vingine huwezi kuvielewa bila kustaarabika.