Serikali kama imeshindwa industrial revolution tafadhali fanyeni agricultural revolution

Tatizo
Shida yetu tuna jaribujaribu tu hatujafanya kitu tuka maanisha!
Ni aina ya viongozi tuliokuwa nao, na sisi wananchi tuna jukumu la kuwalazimisha viongozi wetu, sema Ni vile Tu hatujui haki zetu.
 
C__Data_Users_DefApps_AppData_INTERNETEXPLORER_Temp_Saved Images_images(29).jpg
serikali ikiwezesha vijana kwa makundi makundi serikali iwawezeshe kwa mitaji Tu, masoko watafute wenyewe
 
Serikari inatakiwa iende UDSM ikaulize ni msomi gani kutoka kitengo cha mafunzo ya ualimu aliwahi kwenda kujadili mambo ya mitaala star tv like 5 yrs back.

Jamaa ana majibu ya what is wrong in a bigger picture, what needs to be done now and future kuendelea kuanzia human planning mpaka economy agenda kulingana na tulipo. Nimewasikia wanasiasa, sijui so called wachumi etc, hakuna anaefikia kiwango cha yule jamaa I wish ningemkumbuka jina.

Hawa wengine very predictable if you know the rules of engagement ukiwasikiliza you know how its gonna end. Wengine tulishasema kwa mtazamo wao Tanzania ya viwanda hadithi.
 
Jamani kulingana na kichwa cha habari hapo juu,

Tafadhali serikali naomba mfanye mapinduzi ya kilimo kwani ya viwanda yametushinda kutokana na uhitaji mkubwa wa gharama za manunuzi ya machine, mitaji pamoja na changamoto nyingine lukuki.

Naomba tufanye kilimo kwani tukifanya mapinduzi ya kilimo ni rahisi pia kupata wawekezaji wa viwanda. Nguvu kazi ya vijana tunayo ya kutosha tena imezidi. Maeneo ya ardhi ya kilimo tunayo mengi tu.

Maji ya mabwawa, Mito maziwa vinatosheleza kuleta mapinduzi ya kilimo. Hatuwezi kufanya mapinduzi ya viwanda ilhali kilimo kimetushinda jamani. Mfano mzuri ni nchi ya America mapinduzi ya viwanda yalianza miaka ya 1820-1870 na yalileta mafanikio makubwa sana wakati huo na hadi sasa.

Serikali itoe maeneo, vifaa vya kilimo, madawa, mbegu kwa vijana kupitia serikali za mitaa waone nguvu ya vijana tulio nao.

Sasa basi naomba tuangalie faida za mapinduzi ya kilimo katika nchi yetu.
1.Ajira, idadi kubwa ya watu wasiokuwa na kazi watajiajiri katika kilimo, na hivo tukaondoa tatizo la ajira nchini.
2.tutakuwa na viwanda vingi ikiwemo vya nguo zitokanazo na kilimo tukifanyacho kama Vile nguo za Sufi, viatu vya ngozi, kutokana na ufugaji. Nk.
3.fedha za kigeni, nchi yetu inaweza pata fedha za kigeni kwa wingi kutokana na kuuza Mazao yetu nje.

4.Msimu WA mavuno Ni msimu mzuri kwa mwaka kwani watu wengi huwa nafuraha kutokana na kwamba mzunguko WA hela unakuwa.vizuri.
5.kilimo Ni chanzo kikubwa cha upatikanaji WA chakula cha kutosha katika nchi na katika familia kwa jumla

.
Hapo juu nimeeleza kwa uchache faida zitokanazo na mapinduzi ya kilimo
umeongea issue ni wazi kuwa ndio ukweli ila bado kuna baadhi ya watu haswa vijana wa lumumba naona wametoa maneno ya ajab na pia nahis yatakuja zaidi,kiuhalisia hakuna nchi inaweza kuanza na mapinduz ya viwanda then ya kilimo yafate maana inputs za viwanda lazma zitoke katika kilimo...ndio maana lowasa alisema 1.elimu,2.elimu,3.elimu
 
umeongea issue ni wazi kuwa ndio ukweli ila bado kuna baadhi ya watu haswa vijana wa lumumba naona wametoa maneno ya ajab na pia nahis yatakuja zaidi,kiuhalisia hakuna nchi inaweza kuanza na mapinduz ya viwanda then ya kilimo yafate maana inputs za viwanda lazma zitoke katika kilimo...ndio maana lowasa alisema 1.elimu,2.elimu,3.elimu
Habari ya viwanda Ni propaganda za kisiasa kwa sasa, hatuwezi kuwa na viwanda wakati kilimo tumeshindwa ilihali tuna ardhi ya kutosha.
 
S
Hakuna industrial revolution without agricultural and social revolution,never!!
Safi Sana, watanzania tunadanganywa halafu watu wanasubiria mapinduzi ya viwanda within a five years, let's wait.
 
Hivi umelala. Ni nani alisema kuna "mapinduzi" unayoyaita wewe "revolution"?

Unafikiri Bakhresa alipewa eka 10,000 za nini?

Unafikiri Dangote alipewa mgodi wa makaa ya mawe wa nini?

Tulinadi mageuzi si mapinduzi. Kumbuka hilo.
 
Mawazo ya
Hivi umelala. Ni nani alisema kuna "mapinduzi" unayoyaita wewe "revolution"?

Unafikiri Bakhresa alipewa eka 10,000 za nini?

Unafikiri Dangote alipewa mgodi wa makaa ya mawe wa nini?

Tulinadi mageuzi si mapinduzi. Kumbuka hilo.
Yako wewe Ni yapi haswa?
 
Mapinduzi ya kilimo au viwanda hufanywa na wananchi kwa msaada, maelekezo au uwezeshaji wa serikali.
Serikali za kiafrika, huzuia wananchi kufanya badala ya kuelekeza, kusaidia au kuwezesha.
Nguvu kubwa huelekezwa kwenye ukaguzi wa kuchelewesha, kusumbua na hata kufilisi kwa kuwanyang'anya hata kile kidogo walicho nacho kwa jina la kodi na tozo za kisheria.
Kero kama za askari wengi wa usalama barabarani ni aina ya usumbufu na ucheleweshaji wa maendeleo. Hakuna sababu ya msingi wala umuhimu wa kuweka watu wengi wasiozalisha kusumbua wazalishaji.
 
Ukifuatilia kauli mbiu za kilimo zilizowahi kutokea nchi hii na hazikufanya kazi, utakata tamaa
 
Ujinga mwingine kweli ni hatari sana, unajishughulisha kupost picha za mifugo ya watu wengine wewe mwenye hata mbwa huna. Huu ni upumbavu na ujinga.
Umejuaje kuwa hana hata mbwa, au ulitaka aoneshe mbuzi wa kimasai ili tujifunze nini???, wewe ni zaidi ya mpumbavu
 
Umejuaje kuwa hana hata mbwa, au ulitaka aoneshe mbuzi wa kimasai ili tujifunze nini???, wewe ni zaidi ya mpumbavu
Mkuu asante kwa kumjibia huyo, Ana ajili ya hovyo Sana ndo watanzania tunaonea wivu wenyewe kwa wenyewe
 
Mapinduzi ya kilimo au viwanda hufanywa na wananchi kwa msaada, maelekezo au uwezeshaji wa serikali.
Serikali za kiafrika, huzuia wananchi kufanya badala ya kuelekeza, kusaidia au kuwezesha.
Nguvu kubwa huelekezwa kwenye ukaguzi wa kuchelewesha, kusumbua na hata kufilisi kwa kuwanyang'anya hata kile kidogo walicho nacho kwa jina la kodi na tozo za kisheria.
Kero kama za askari wengi wa usalama barabarani ni aina ya usumbufu na ucheleweshaji wa maendeleo. Hakuna sababu ya msingi wala umuhimu wa kuweka watu wengi wasiozalisha kusumbua wazalishaji.
Viongozi wetu wengi wamekuwa wakitumia nguvu nyingi kuliko akili, Bado tuna safari ndefu mno
 
Back
Top Bottom