Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,786
Kwani kipindi cha jk pembejeo za kilimo tulikua tunapata wapi??
Sasa kwanini hakuna hayo Mapinduzi ya kilimo kama unaona JK alifanikiwa? kwa nini bado hatuna chakula cha kutosha? Kwa nini nchi ya Kenya inaangiza chakula nje ya Afrika na siyo kwetu kama JK alifanikiwa kufanya Mapinduzi ya Kilimo?