Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 28,456
- 45,744
Kipumbavu?!!!
Kukimbiza bila akili na kwenda kuuwa
Kipumbavu?!!!
Walijiwekea utaratibu basi likiwa jipya kabla ya kuanza route lazima lifingwe hiko kidude sasa nani alitoa kauli kuwa kisifungwe tena?.Hahahaaaa......... Una uhakika bwashee?!
Ni kupunguza ajali!Ni utafutaji wa hela kwa nguvu?
Ccm inaingiaje hapo?Maulaji yanarudi tena kwa kasi ya ajabu. CCM na ufisadi ni kama mavi na inzi
Inapitia mlangoni.Ccm inaingiaje hapo?
Tatizo la hii nchi ni upigaji tu ndio unaosababisha yote hayo,mkubwa mmoja akiamua kuja na dili la kihuni ili apige hela tayali inakuwa Sheria,kiufupi ni dili za wakubwa ndio zinazoangaliwa na si vinginevyoKwanini walivitoa vizibiti mwendo walivyoviweka awali? Tukisema mambo yanaenda kwa mihemko, tunaonekana wachonganishi.
Danadana na chenga nyingiii hakuna magoli.
Ndio wasimamizi na wapanga dili nchiniCcm inaingiaje hapo?
Mla rushwa wa kwanza ni polisi Yani wanarudisha ulaji kwa mhalifu namba moja, save this post mtaona kitakachofuata baada ya polisi kurudisha usimamizi wa ving'amuzi.Jeshi la polisi nchini limesema linafikiria kurejesha mfumo wa zamani wa kufunga Vidhibiti mwendo kwenye mabasi ya abiria ili kupunguza ajali.
Mkuu wa kikosi cha usalama barabarani afande Mutafungwa amesema wanakwenda kukutana na wamiliki wa mabasi ili kujadili na kukubaliana juu ya jambo hilo.
Source: ITV habari
Wakiweka hiyo ulaji utaisha. They did it at TRA walifungwa zile tracker za container wizi umeisha Ila wajanja wanahakikisha wanaizingua Ile system then ngoma inapigwa mkasi fasta then Mambo kama kawaida.
- Huo ni mradi wa mtu, kwanini wasitumie takograph ambayo ni teknolojia ya kisasa inatumia satelite
- Kuna ajali wapi zimetokea?
Wakati wengine wakienda TEHAMA sisi tunarudi enzi ya macho kwa macho,labda wanajua wanachokifanya! ByHii serikali ina vichekesho sana, ukienda pale Latra au Sumatra zamani baada ya kazi ya basi lako jeshi la polisi wanakagua hicho kifaa kama umefunga, leo mnakuja na hadithi mpya eti mfumo wa zamani 😃😁😂🤣🤣
Wenzetu unaendesha lorry au Bus lina speed limiter ya mile 56 kwa saa
Na mwakani sheria ya kuzifunga gari zote inakuja ( serikali haijajadiliana na mwenye magari )
hapa hatutumii vipimo vya maili
na hatutumii sheria za
diaspora, hebu jiongeze