Serikali: Jeshi la Polisi kurejesha mfumo wa zamani wa vidhibiti mwendo kwenye mabasi ili kupunguza ajali

Jeshi la polisi nchini limesema linafikiria kurejesha mfumo wa zamani wa kufunga Vidhibiti mwendo kwenye mabasi ya abiria ili kupunguza ajali.

Mkuu wa kikosi cha usalama barabarani afande Mutafungwa amesema wanakwenda kukutana na wamiliki wa mabasi ili kujadili na kukubaliana juu ya jambo hilo.

Source: ITV habari
hapo kuna biashara ya speed gavana inataka kufanyika hii huruma ya mamba
 
Sheria sheria huku wenyewe wanashindwa kutengeneza mazingira mazuri ya Barbara zetu, hivi kwa mfano ajali nyingi zinatokea dar mpaka Dodoma, suruhisho ni kutengeneza njia mbilimbili sio mifumo iliyopitwa na wakati, watu wanatakiwa kuwahi ili shughuli nyingine zifanyike

Sent from my Infinix X652 using JamiiForums mobile app
 
Miradi ya zamani inafufuliwa kwa kasi ya jua. Kazi iendelee.
Na atakayepewa zabuni ya kuagiza, kufunga, na kufanya service ni kampuni moja tu....
Ujinga wa watanzania kuanzia sisi wapiga kura hadi rais huwa hatuna "mbinu mbadala" za kuiba, zile zile ya wizi tangu enzi za Chifu Mangungo hadi Chifu Hangaya...SHAME!
 
Back
Top Bottom