Serikali izibane hotel zote za kulala Tanzania zinaibia wateja

Nikweli mkuu hata mimi nilishawahi kulala Holiday inn Abidjan ilikuwa ni hivyohivyo
Tanzania zikiwepo hoteli ambazo mtu akiingia muda anaoingia ndio anatoka Kama hizo hoteli za Afrika magharibi zitapata wateja wengi .Hizi zinazoibia na kudhulumu muda wateja kuwa hata uingie saa kumi usiku saa nne asubuhi lazima utoke zitakufa kito Cha mende na ujuaji wao

Serikali iamuru wenye mahoteli Tanzania wabadike waache kudhulumu wateja au ilete wawekezaji wa mahoteli toka Afrika Magharibi wanaojua mteja anataka Nini? Walete ushindane kwa Hawa wenye mahoteli wezi wa Tanzania
 
Nahisi unaandika huku ukijua wewe siyo msafiri wa mara kwa mara, nakupa mfano ambao ni mbichi kabisa. 👇
Juzi nimefika Iringa saa 09:58 alfajiri, nikaenda lodge nikaongea na muhudumu anipe room, but nikijua ni asubuhi nikamuuliza huu muda kwenye hesabu ukoje?

Akajibu "... mwisho saa nne asubuhi alafu unalipia tena!!"

Kwa akili yako unaona ni sahihi hapo?
Daaah
Kweli upumbavu ni mzigo sana.
Kwahiyo ukizaliwa March tubadili mwaka uanze March
Wiki ianze J5
Acheni ujinga wenu. Kimsingi kufika hiyo saa 4 asubuhi ni feva tu. Siku inaisha saa 6 usiku
Ukiingiia hotelini ukasema nalala kwa siku moja Tar 15.12.2019 unapaswa uishi hotelini hapo kwa siku hiyo tuu. Sasa ukiingia saa 4 usiku inapaswa saa 6:01 ulipe upya lakini wanakupa feva mpaka kesho saa 4 asubuhi halafu unaleta matapishi hapa.
Pumbavu sana
 
Tanzania zikiwepo hoteli ambazo mtu akiingia muda anaoingia ndio anatoka Kama hizo hoteli za Afrika magharibi zitapata wateja wengi .Hizi zinazoibia na kudhulumu muda wateja kuwa hata uingie saa kumi usiku saa nne asubuhi lazima utoke zitakufa kito Cha mende na ujuaji wao
Itungwe sheria ili Halmashauri na Manispaa zisimamie ili Mahoteli yetu yaache kuibia raia wa jamhuri na tuwe na utaratibu wa value for money
 
Kwa kweli...hata mimi majuzi tu nimetoka kuliongelea hilo suala na rafiki zangu

Huwa ina kera mnoo.. mtu unatoka club let say saa 8 ..una amua kutorudi home una kwenda kulala hotel ili uweze kupumzisha mwili na akili ' Lakini unaambiwa saa 4 mwisho ..like seriously

Yaani 60k yangu nimelipia masaa 8 tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa nini usisubilie uingie saa 4 ili utoke hiyo saa 4? Saa 4 ni muda wa kufanya usafi, kwa hiyo mtu akitoka muda alioingia maana yake itakuwa kazi ya kusafisha muda wote, matokeo yake wamiliki wataibiwa sana. Kama vipi jenga yako uweke huo utaratibu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Daaah
Kweli upumbavu ni mzigo sana.
Kwahiyo ukizaliwa March tubadili mwaka uanze March
Wiki ianze J5
Acheni ujinga wenu. Kimsingi kufika hiyo saa 4 asubuhi ni feva tu. Siku inaisha saa 6 usiku
Ukiingiia hotelini ukasema nalala kwa siku moja Tar 15.12.2019 unapaswa uishi hotelini hapo kwa siku hiyo tuu. Sasa ukiingia saa 4 usiku inapaswa saa 6:01 ulipe upya lakini wanakupa feva mpaka kesho saa 4 asubuhi halafu unaleta matapishi hapa.
Pumbavu sana
Hili nalo jinga Sana linshesabu Siku ni masaa 12 halijaenda shule hili, halijui kuwa Siku moja ni masaa 24 halijui hata utaratibu wa tarehe kuwa tarehe inakamilika Kwa masaa 24 .linaleta ujinga kwenye hoja ya kisomi mwenzako anazungumzia Siku wewe unazungumzia nusu Siku
Anasema kuingia saa nane usiku Halafu utoke saa nne asubuhi unakuwa umetumia masaa nane tu badala ya 24

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kawaida mtu ukiingia hotel muda unaoingia ndio kesho yake unatakiwa uwe muda wako wa kutoka sababu unalipia kwa siku yaani masaa 24

Mahotel ya Tanzania yamejiwekea utaratibu wa wizi kuwa muda wa kutoka lazima uwe saa nne asubuhi bila kujali umeingia saa ngapi.

Nilikuwa Nigeria niliingia saa nne usiku hotelini wakaniambia muda wangu wa kutoka ni kesho usiku muda kama huo huo nilioingia.Wanahesabu MASAA 24 kamili bila kupunja

Tanzania hata uingie saa nane usiku hotelini wanataka saa nne asubuhi uachie chumba wakati umelipia siku nzima wao wanakulaza masaa machache tu na kukwambia toka kama vile wewe ni changudoa uliyeenda kupanga chumba short time

Wanasheria bebeni hili kesi buruzeni wamiliki mahoteli mahakamani wakome wizi
Asante mkuu . Wizara ya nyumbani na makaze hebu pitieni/andaeni sheria itakayoweka hii kitu vizuri tumechoka kuibiwa bhana!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kawaida mtu ukiingia hotel muda unaoingia ndio kesho yake unatakiwa uwe muda wako wa kutoka sababu unalipia kwa siku yaani masaa 24

Mahotel ya Tanzania yamejiwekea utaratibu wa wizi kuwa muda wa kutoka lazima uwe saa nne asubuhi bila kujali umeingia saa ngapi.

Nilikuwa Nigeria niliingia saa nne usiku hotelini wakaniambia muda wangu wa kutoka ni kesho usiku muda kama huo huo nilioingia.Wanahesabu MASAA 24 kamili bila kupunja

Tanzania hata uingie saa nane usiku hotelini wanataka saa nne asubuhi uachie chumba wakati umelipia siku nzima wao wanakulaza masaa machache tu na kukwambia toka kama vile wewe ni changudoa uliyeenda kupanga chumba short time

Wanasheria bebeni hili kesi buruzeni wamiliki mahoteli mahakamani wakome wizi
Umeangalia upande mmoja tu, kumbuka wapo wanaoingia saaa nne asubuhi, ukiingia Saaa nne asubuhi unakaaa na chumba masaaa 24 had saaa nne asubuhi Ya kesho yake, maaana yake wao chumba wanauza kuanzia Saaa nne asubuhi had Saaa nne asubuhi Ya kesho yake, hiyo inawekwa kitaaalam ili kusaidia Mfumo wa kiutawala ikiwa ni pamoja na swala la Usafi, ukiachia chumba usiku Saaa nne Nani atakifanyia Usafi ili kiuzwe tena?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kawaida mtu ukiingia hotel muda unaoingia ndio kesho yake unatakiwa uwe muda wako wa kutoka sababu unalipia kwa siku yaani masaa 24

Mahotel ya Tanzania yamejiwekea utaratibu wa wizi kuwa muda wa kutoka lazima uwe saa nne asubuhi bila kujali umeingia saa ngapi.

Nilikuwa Nigeria niliingia saa nne usiku hotelini wakaniambia muda wangu wa kutoka ni kesho usiku muda kama huo huo nilioingia.Wanahesabu MASAA 24 kamili bila kupunja

Tanzania hata uingie saa nane usiku hotelini wanataka saa nne asubuhi uachie chumba wakati umelipia siku nzima wao wanakulaza masaa machache tu na kukwambia toka kama vile wewe ni changudoa uliyeenda kupanga chumba short time

Wanasheria bebeni hili kesi buruzeni wamiliki mahoteli mahakamani wakome wizi
Wewe kweli huna kazi za kufanya.Fahamu watu wanaolala hotelini ni kwa matatizo yao mbalimbali wangine wasafiri.NENDA KAFANYE KAZI ACHA KUWAZA KWENDA KUSHINDA MAHOTELINI SAA 24.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwann wanasema kwa siku Ni tsh kadhaaa ???? Na siku ina masaa mangapi???

Vitu vingne tunaibiwa kwa ujinga wetu wenyewe tu


Sent using Jamii Forums mobile app
Ndiyo. Ni kweli kabisa wanasema hivyo lakini ''siku'' ya hotel mara nyingi huanza saa za mchana (saa 7 mpaka 9) na kuisha siku inayofuata (saa 4 mpaka 6). Hii ni standard inayofanya kazi duniani kote (japo kunaweza kuwa na exception). Haijalishi umeingia saa ngapi lakini muda uliowekwa ni huo. Hawachaji fedha kwa masaa bali kwa siku na siku zao kama nilivyokumbia hazihesabiwi kuanzia saa sita na dakika moja ya usiku bali zinaanzia mchana na kusihia mchana unaofuata. Ni kama town bus zinavyo operate. Ukitoka Kariakoo kwenda Makumbusho haijalishi unashukia kituo gani lakini nauli inakuwa standard. Nimebahatika kusafiri na kulala hotel nyingi kubwa. Kwa mfano nchi za Scandiavia hotel nyingi check in ni kuanzia saa 9 jioni na check out ni saa 6 mchana siku inayofuata.
 
Daaah
Kweli upumbavu ni mzigo sana.
Kwahiyo ukizaliwa March tubadili mwaka uanze March
Wiki ianze J5
Acheni ujinga wenu. Kimsingi kufika hiyo saa 4 asubuhi ni feva tu. Siku inaisha saa 6 usiku
Ukiingiia hotelini ukasema nalala kwa siku moja Tar 15.12.2019 unapaswa uishi hotelini hapo kwa siku hiyo tuu. Sasa ukiingia saa 4 usiku inapaswa saa 6:01 ulipe upya lakini wanakupa feva mpaka kesho saa 4 asubuhi halafu unaleta matapishi hapa.
Pumbavu sana
Hakika wewe u mmoja wa wezi hao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hoja ya kubadili shuka haina mashiko. Kwani reception mbona pana wahudumu 24 hours, kwa nini isiwe kwa wabadili mashuka? Mathalani ninakaa week ina maana hawatobadili mashuka? Ni kuweka utaratibu tu wa shift na kila kitu kitakuwa shwari
Unaweza kwenda guest house inayolipisha kwa masaa pia.

Hoteli zinahitaji muda fulani kubadili shuka, kufanya usafi etc.

Kwa hukubwatu wanafanya usafi kuanzia saa sita moaka saa tisa. Hivyo muda huo inabidi uwaachie chumba wafanye usafi.

Au unataka kulala kwenye kitanda chenye shuka zenye manii ya mtu mwingine?

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Iko wapi hiyo Sheria? Per night kwani kila mtu mwanga?.Wanachaji per day yenye 24 hours sio per night ingekuwa per night wangeanza ku check in watu kuanzia saa moja jioni na ku check out saa 12 alfajiri.Ndio maana kwenye kitabu Cha check in unaandika tarehe ya kuingia na tarehe ya kutoka
''Siku'' za kihotel hazihesabiwi kama unavyohesabu siku za kawaida. Hotel nyingi siku inaanza mchana eg leo na kuishia mchana kesho. Halafu hazina masaa 24 bali ni pungufu, ili kutayarisha vyumba kwa wale wanaingia wapya ila wanaoendelea kubaki haiwahusu. Hii ni standard inayotumika duniani kote tangu zamani. Uzoefu wangu ni kuwa check in mara nyingi inaanzia saa 9 alasiri na check out ni kesho yake saa 6 mchana. Haijalishi umeingia saa ngapi.
 
Daaah
Kweli upumbavu ni mzigo sana.
Kwahiyo ukizaliwa March tubadili mwaka uanze March
Wiki ianze J5
Acheni wA
p
Km hoja yako ni hiyo ya kutoka saa 6, Sasa inakuwaje kwa mtu aliyeingia saa 8 usiku sianatakiwa atoke saa 6 usiku? inakuwaje Sasa mtu huyo analazimishwa kutoka saa 4 asubuhi?
 
Wewe kweli huna kazi za kufanya.Fahamu watu wanaolala hotelini ni kwa matatizo yao mbalimbali wangine wasafiri.NENDA KAFANYE KAZI ACHA KUWAZA KWENDA KUSHINDA MAHOTELINI SAA 24.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe akili huna chukulia umeingia na Ndege usiku Dar es salaaam toka mikoani saa nne usiku toka mwanza unasafiri na ndege kwenda ulaya saa mbili usiku kesho .Kwa hiyo ucheck out hoteli saa nne asubuhi kwenye hoteli ? Ukashinde airport au ukilipie Mara mbili chumba ndani ya masaa 24 ili upumzike hapo hoteli Hadi muda wa ku check in kwenye ndege?
 
Uko sahihi tunaumizwa sana.Watanzania mmeanza kuamka sasa sijajua la wamiliki wa mitandao ya simu wamefikia wapi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani Wenye mahoteli wanatugeuza wateja wote Kama machangudoa kuwa tuna book short time tufanye uchangudoa.Mtu unawasili SAA kumi usiku safari unalipia chumba full Bei SAA nne asubuhi unaambiwa toka Kama vile wewe changudoa ukikodi short time
 
Back
Top Bottom