Nadhani kwa kuwa Idd Amin alikuwa mwislamu.
Tunachodai Waislamu si Serikali kutuletea jua au mwezi mkononi! ni madai ya haki na ya kimsingi ambayo yanatekelezeka na yoyote yule anayependa uadilifu, vinginevyo subirini nchi kufilisika kabla ya kwenda hatua nyingine.
Ninali ignore swali la kwanza na kwenda kwenye la pili moja kwa moja.
Kwanza anayebebe responsibility ya kuua uchumi hapa atakuwa si Muislamu bali ni serikali kushindwa kwake kuyatatua matatizo ya Waislamu.
Pili, kama itatokea Waislamu kuisimamisha nchi kiuchumi itakuwa ni fursa nzuri ya kuanza upya ambayo ni advantage kwa Waislamu.
An enemy of Islam are the muslims themselves. JK is not a mormon. Said Mwema is not RC. Dr Shein is not SDA. Muslims in Tanzania and the rest of the world must educate their people with quality education, and get rid of the useless madrasat education.[/QUOTE
Truth hurts.... but must be spoken.... take this A+, for this...
But once u say this to muslims you will be their number
one enemy...
LOOK THIS....
Muslims are not happy in their own countries ...Sudan, Libya, Egypt, Yemen, Syria, Palestine, Lebanon, Iran,
Iraq, Afghanistan, Somalia, Pakistan..ZNZ
Muslims are happy in USA, UK, Tanzania, Italy, France, Venezuela, Brazil, Mexico, Germany, Canada, India,
Russia, China, Poland....
In general muslims are happier in Christian countries of which they are blaming those countries and want to turn them like their countries..... chaos, chaos....
AND WON'T STOP CALLING ELIMU DUNIA.... wanabakia madrassa tuuuuu.....
ELIMU NDIO INAFANYA NCHI ZOTE ZA KIKRISTO LIKE USA, ISRAEL WATAWALE DUNIA.... ni elimu tu no MIRACLES....
Sijui lini watajua ukweli..... shauri yao...
Ninali ignore swali la kwanza na kwenda kwenye la pili moja kwa moja.
Kwanza anayebebe responsibility ya kuua uchumi hapa atakuwa si Muislamu bali ni serikali kushindwa kwake kuyatatua matatizo ya Waislamu.
Pili, kama itatokea Waislamu kuisimamisha nchi kiuchumi itakuwa ni fursa nzuri ya kuanza upya ambayo ni advantage kwa Waislamu.
Sasa hivi inatosha tu kwa Waislamu kutangaza kuandamana na serikali itatuma Polisi, FFU, Mgambo au hata JWTZ! kwa wasioona mbali wanaona kuwa hili ni suluhisho sahihi.
Wasichokijua hapa ni kuwa kama Waislamu wataamua kucheza gemu la kutangaza maandamano kila ijumaa na serikali kupeleka vyombo vya usalama misikitini kila ijumaa ukijumlisha na upelekaji wa hivi vyombo kwenye kesi za kina Sheikh Ponda basi ni gharama kubwa sana kiuchumi ambayo serikali inaingia kila Ijumaa.
Vilevile bajeti ya ulinzi nayo inaongezeka, kwa nchi changa kama Tanzania serikali haitaweza kufanya hivi kila ijumaa bila ya nchi kuyumba kiuchumi.
Tathmini yangu inanionyesha na nadhani kuna watakaokubaliana nami kuwa Waislamu wa Tanzania sasa wana uwezo wa kuifyonza nchi kiuchumi! matokeao yake ni kuwa kama yale ya baada ya vita na Uganda, hata Wakristo wanaochekelea kupigwa kwa Waislamu sasa wajue kuwa hizo hela za MoU zitapungua sana kwenda kwao.
Tunachodai Waislamu si Serikali kutuletea jua au mwezi mkononi! ni madai ya haki na ya kimsingi ambayo yanatekelezeka na yoyote yule anayependa uadilifu, vinginevyo subirini nchi kufilisika kabla ya kwenda hatua nyingine.
Aende akaandamane akae mbele kabisa kuonesha anamuunga Mkono Ponda tumuone Kwenye vyombo vya habariNENDA BARABARANI KADAI UNAYOTAKA...., siyo kwenye keyboard.. WAISLAM WENGN WA JF BHANA,..... Wanaangalia cd za Ponda wanajifanya nao wanamsimamo mkali.... Nenda kamsaidie ponda kupata mdhamana kama kweli unauchungu
Ninali ignore swali la kwanza na kwenda kwenye la pili moja kwa moja.
Kwanza anayebebe responsibility ya kuua uchumi hapa atakuwa si Muislamu bali ni serikali kushindwa kwake kuyatatua matatizo ya Waislamu.
Pili, kama itatokea Waislamu kuisimamisha nchi kiuchumi itakuwa ni fursa nzuri ya kuanza upya ambayo ni advantage kwa Waislamu.
Kwa kusema tu kwamba Waislam wakisimamia uchumi unaonyesha ufinyu mkubwa wa kufikiri. Sijui kama kuna Muislam mwenye mawazo kama yako. Wewe ni mbaguzi wa kutisha. Mbona hatuoni kama nchi ambazo ni predominantly moslems zikiongoza uchumi wa dunia?
Nimefuatilia sana majibu yanayotoka kukiwa na habari yoyote inayohusu Waislam. Wengine utasikia magaidi hao,hawana ustaarabu,watu wa vurugu n.k........
Nakaa najiuliza tatizo na waislamu ambao hawapractise uislamu vizuri au ni uislamu kama dini yenye matatizo? Wengine utasikia dini ya ugaidi hiyo, wengine magaidi hao sielewe kwa kina tatizo ni dini ya Uislamu au waislamu?
Kama tatizo ni uislamu tuangalie Qura'am tukufu imeandika nini kuhusu mtu kumuua mwenzako pasi na sababu yoyote:-
مِنْ أَجْلِ ذَٰلِكَ كَتَبْنَا عَلَىٰ بَنِي إِسْرَ*ائِيلَ أَنَّهُ مَن قَتَلَ نَفْسًا بِغَيْرِ* نَفْسٍ أَوْ فَسَادٍ فِي الْأَرْ*ضِ فَكَأَنَّمَا قَتَلَ النَّاسَ جَمِيعًا وَمَنْ أَحْيَاهَا فَكَأَنَّمَا أَحْيَا النَّاسَ جَمِيعًا ۚ وَلَقَدْ جَاءَتْهُمْ رُ*سُلُنَا بِالْبَيِّنَاتِ ثُمَّ إِنَّ كَثِيرً*ا مِّنْهُم بَعْدَ ذَٰلِكَ فِي الْأَرْ*ضِ لَمُسْرِ*فُونَ ﴿٣٢
Tafsiri yake:-
Kwa sababu ya hayo tuliwaandikia Wana wa Israili ya kwamba aliye muuwa mtu bila ya yeye kuuwa, au kufanya uchafuzi katika nchi, basi ni kama amewauwa watu wote. Na mwenye kumuokoa mtu na mauti ni kama amewaokoa watu wote. Na hakika waliwajia Mitume wetu na hoja zilizo wazi. Kisha wengi katika wao baada ya haya wakawa waharibifu katika nchi. Sura Al-Maeda aya ya 32
Kwa andiko hili ni wazi kabisa Qura'n umeupa uzito wa hali ya juu uhai wa mwanaadamu kwani kuuwa pasi na sababu yoyote kisheria ni kosa kubwa mbele ya ALLAH.
Nathubutu kusema kuwa hakuna dini yoyote yenye andiko linalofanana na hili au lenye maana kama hii. Kwa mantiki hiyo Uislamu kama dini inathamini sana uhai wa mtu yoyote regardless dini yake. Sasa inakuaje kama waumini hawafuati maandiko (katika kila jamii watu kama hawa wapo) utasema kuwa dini yao ndio yenye matatizo au waumini wenyewe ndio wenye matatizo?
Ikiwa ni kuupiga vita na kuupaka matope Uislamu, walishafanya haya waliotangulia lakini hawakufanikiwa. So ikiwa mtu yoyote mwenye fikra kama hiyo ajue wazi kuwa ndoto yake haitatimia. Waliokuwa na mali zao wakaupiga vita uislamu kwa nguvu zao zote na hawakufanikiwa,itakuwa nyinyi mnaosemasema maneno tu?
Endeleeni kukejeli dini za wenzenu mwisho wa siku hakuna impact yoyote. Lakini nataka kusema kuwa Western Media & America wamefanikiwa kwa kupiga propaganda za hali ya juu na kuhalalisha vita katika nchi za Kiislamu. Lakini ukiangalia impact yake katika dini is almost wakufanya chochote despite kupoteza resources nyingi ambazo zingeweza kutumika katika mambo mengine yenye manufaa kwa umma.
Once Iran alisema kuwa wao hawana tatizo na ukristo kama dini ila wana tatizo na Zionist (Jewish) ambao wako mstara wa mbele kuupiga vita Uislamu kwa sura ya Ukristo. Mambo yote yanayooendelea sasa kama vita vya Syria Zionist are behind it!!
Na hapa ndo huwa wananishangaza hawa ndugu zetu, kama tulishaambiwa kuwa wanaoandamana ni wahuni, na huyu bwana anadai waislamu wanapaswa kutatuliwa matatizo wanayoyadai huku wakiandamana. It goes without saying kuwa u..............u ni uhuni!!!!Sasa mbona mnatuchanganya mara wanaoandamana ni wahuni.. Mara mnaondamana ni waislam, tuelewe lipi sasa?? Au ni waislam wa dhehebu la wahuni???