Serikali iweke msimamo wake wazi kuhusu chanjo ya Corona

Chifu Sanze

JF-Expert Member
Jul 20, 2021
3,061
6,185
Naomba serikali iweke wazi msimamo wao kama kuchanja ni lazima au hiyari,kwani hivi sasa kuna mkanganyiko mkubwa kati ya viongozi wa kisiasa ambao wanasema kuchanja ni hiyari lakini huko mahospitalini wagonjwa wanapigiwa hadi simu kwenda kuchanja kwa lazima kwa madai kwamba kuna utafiti mpya unaonesha watu wenye magonjwa sugu kuchanja ni lazima,
Sasa sijui kuna mpango gani!
 
Tunapoenda kuchanja itakua lazima kama ambavyo kwa wasafiri kwa sasa. Labda usiwe mtu wa kusafiri popote kitu ambacho ni ngumu! Nishapiga Pfizer yangu maisha yanaendelea hamna namna!
 
Naomba serikali iweke wazi msimamo wao kama kuchanja ni lazima au hiyari,kwani hivi sasa kuna mkanganyiko mkubwa kati ya viongozi wa kisiasa ambao wanasema kuchanja ni hiyari lakini huko mahospitalini wagonjwa wanapigiwa hadi simu kwenda kuchanja kwa lazima kwa madai kwamba kuna utafiti mpya unaonesha watu wenye magonjwa sugu kuchanja ni lazima,
Sasa sijui kuna mpango gani!
  1. Chanjo inaletwa mara ngapi kwa wiki toka kwa mzalishaji?
  2. Tuliambiwa haitakiwi kutumia chanjo iliyokaa zaidi ya mwezi?
  3. Tangu batch ya mwisho ije umepita muda gani hadi sasa?
Kuna mtu ameandika humu nanukuu "mitanzania mijitu ya ajabu haieleweki huenda huyu alichanjwa kiporo na wazembe sasa kimemdhuru"
 
Kinachoniuma zaidi ni waathirika wa VVU kuambiwa ama wachanje Uviko 19 ili wapewe dawa za miezi 6 au wagome kuchanja wapewe dawa za mwezi mmoja tu! Kuepuka usumbufu wa nenda rudi kila mwezi maskini wanakubali kuchomwa hayo machanjo....Waasisi wa ujinga huu ni NGO moja (jina ninalo) nadhani lengo lao ni kuongeza takwimu za waliopata chanjo ili kuwafurahisha wafadhili.....ndio maana Jiwe aliweka ngumu kwa baadhi ya NGO maana ni waharifu tu Hawa!!!
 
Naomba serikali iweke wazi msimamo wao kama kuchanja ni lazima au hiyari,kwani hivi sasa kuna mkanganyiko mkubwa kati ya viongozi wa kisiasa ambao wanasema kuchanja ni hiyari lakini huko mahospitalini wagonjwa wanapigiwa hadi simu kwenda kuchanja kwa lazima kwa madai kwamba kuna utafiti mpya unaonesha watu wenye magonjwa sugu kuchanja ni lazima,
Sasa sijui kuna mpango gani!
Mi nilikua nishaapa kutochanja....nikapata kisafari cha nje nikaulizia kama naweza pata cheti bila chanjo jamaa akanilengesha hospital moja hivi kufika wakanichenjia kuwa hiyo kitu haipogo. Daah. Nikapigwa Jansenn ambayo ni single dose bila kupenda..yani mabeberu manina zao
 
Hahahahah vyeti feki unaenda tengeneza pale pale mamlaka ya chakula na madawa maroon7 we uliendaje hospitali mkuu!?😅
 
Mi nilikua nishaapa kutochanja....nikapata kisafari cha nje nikaulizia kama naweza pata cheti bila chanjo jamaa akanilengesha hospital moja hivi kufika wakanichenjia kuwa hiyo kitu haipogo. Daah. Nikapigwa Jansenn ambayo ni single dose bila kupenda..yani mabeberu manina zao
Hizo ngoma zinapatika dark web we ulienda bongo web so wakakuweb kwelikweli..😂
 
Hahahahah vyeti feki unaenda tengeneza pale pale mamlaka ya chakula na madawa maroon7 we uliendaje hospitali mkuu!?😅
Kuna mchizi alinambia wanafungua dawa kama kawaida ili ionekane batch ulochanjwa ila hawachanji wanaimwaga chini nikasema baaaasi imeisha hiyo. Kufika wakanishangaa utafkiri nimetoka Ukraine kwa miguu
 
Kuna mchizi alinambia wanafungua dawa kama kawaida ili ionekane batch ulochanjwa ila hawachanji wanaimwaga chini nikasema baaaasi imeisha hiyo. Kufika wakanishangaa utafkiri nimetoka Ukraine kwa miguu
Hahahahahah ukikuta sikuhio boss yupo lazma ule mkuki wa bega😅
 
Back
Top Bottom