mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,763
- 35,205
Huu msisitizo wako ni mkubwa sana..... tuomne Mungu tusifike huko kwa kukatana vichwa đź‘Źmama D hawa jamaa wanaudhi sana, hebu fikiria kukosa kwao ubunge kumewafanya waanze kuiwazia hii nchi mabaya. Mimi kuwa mamlaka niliyonayo siwezi juta kumkata kichwa muasi yeyote wa Taifa langu la Tanzania.