Serikali iwe makini na Wahamiaji hawa haramu kutoka Nigeria

Puma yetu

Senior Member
Sep 23, 2016
111
123
Juzi uhamiaji imewakamata na kuwashikilia wahadhiri kadhaa kutoka chuo kikuu cha kimataifa cha Kampala tawi la Dar es salaam kwa madai ya ukiukwaji wa taratibu za wageni kufanya kazi nchi na za kiuhamiaji.


Ukweli wa mambo ndio huu,
Hawa wanaojiita wahadhiri kutoka chuo hicho hawana qualifications kabisa na kazi wanazofanya ni tofauti na kazi ambazo wanatakiwa kufanya wageni,ni kazi zinazotakiwa kufanywa na wazawa tu,si kwa taratibu na mujibu wa ajira za wageni nchini.Wengi wanalalamikiwa kwa kufoji vyeti vya elimu za mfamo mtu anajifanya kua ni PhD holder kumbe ni diploma holder,wengine huja kama wanafunzi wa field lakini wanazamia moja kwa moja, wanagushi vyeti kuzidanganya idara za serikali ili kuendelea kuishi nchini.


Kwanini haya yanafanyika?
Ni kwamba kutokana na kukosekana kwa solo la ajira nchi Nigeria wahamiaji hawa hukimbilia Tanzania wakidhani ndio fursa kwao pa kupatia sehemu muhimu ya kujikimu kimaisha.Ni wengi sana kwa kila idara ndani ya chuo hicho wanalipwa kiasi kidogo sana cha malipo kufanya kazi tofauti na wahadhiri wa Tanzania kwa maana kwamba wao wako tayari kupokea chochote kikubwa waendelee kubaki Tanzania maana kwa ajira ni tatizo.


Soko la ajira limeingiliwa,

Ni vyema serikali kufauatilia kwa umakini madai haya maana haiwezekani mtu mwenye diploma au first degree kufanya kazi za mtu mwenye masters au PhD, ni imani yangu kua watanzania wa Level hiyo wako wengi sana lakini kwa sababu hawa ni cheap na nia yao ni kupata chochote bila kujali viwango vyao vya elimu basi wanarudikwa tu. Kwa sasa nchini takribani miaka mitatu mfululizo kuna wahimu wa kada muhimu kama Afya na sayansi shirikishi wamejaa mtaani hawana ajira hivyo hakuna sababu ya kurundika wageni kiasi hiki.
 
Kwa mfano pale UDSM wanachuo wanaotokea nchi za kenya, uganda na rwanda wengi hawarudi kwao na kuna wanaofanya fojari ili waonekane ni watanzania lakini ofisi ya Mwigulu Nchemba ambaye ni waziri wa mambo ya ndani wamekaa kimya, sasa sijui uhamiaji haifuatilii watu wanaoingia nchini. Hiyo idara ni mbovu kuliko hata polisi.
 
Kwa mfano pale UDSM wanachuo wanaotokea nchi za kenya, uganda na rwanda wengi hawarudi kwao na kuna wanaofanya fojari ili waonekane ni watanzania lakini ofisi ya Mwigulu Nchemba ambaye ni waziri wa mambo ya ndani wamekaa kimya, sasa sijui uhamiaji haifuatilii watu wanaoingia nchini. Hiyo idara ni mbovu kuliko hata polisi.
Kweli ndugu yangu immigration kuna Majipu Mengi sana, na wizara ya kazi,ajira na vijana kina Mavunde wanavuta pesa sio bure.
 
Kweli ndugu yangu immigration kuna Majipu Mengi sana, na wizara ya kazi,ajira na vijana kina Mavunde wanavuta pesa sio bure.
Huko wanafanya kazi ili wapewe rushwa ndio maana unaona wageni wanarundikana nchini, kule pembezoni mwa nchi ndo rushwa imeshamiri kwa wanaingia nchini, sijui kama unakumbuka wale wa wahamiaji haramu waliokutwa wamekufa kwa kukosa hewa kule Dodoma?
 
Unashangaa lectures kufoji vyeti?watu wanafoji PHD kuwa maraisi
Hao wanao Foji PHD kuwa maraisi utawajua wanaendesha nchi kama gari bovu "gari iliyo katika usikani"na wanadhani kuwa "Ujinga utaondoka kwa kumchukia mwenye akili....... umasikini utaondoka kwa kumchukia tajiri........ kuhesabu dhambi za mwenzio kutakufanya wewe kuwa Mtakatifu," -

Sent from my VF685 using JamiiForums mobile app
 
vyeti feki umeona vya hao wanaijeria tu mbona vya bashite wa koromije huvioni usituharibie siku mtoa mada
 
Soon watajazana wao tu kila kona,mamlaka husika sijui zinafanya kazi gani?
 
Juzi uhamiaji imewakamata na kuwashikilia wahadhiri kadhaa kutoka chuo kikuu cha kimataifa cha Kampala tawi la Dar es salaam kwa madai ya ukiukwaji wa taratibu za wageni kufanya kazi nchi na za kiuhamiaji.


Ukweli wa mambo ndio huu,
Hawa wanaojiita wahadhiri kutoka chuo hicho hawana qualifications kabisa na kazi wanazofanya ni tofauti na kazi ambazo wanatakiwa kufanya wageni,ni kazi zinazotakiwa kufanywa na wazawa tu,si kwa taratibu na mujibu wa ajira za wageni nchini.Wengi wanalalamikiwa kwa kufoji vyeti vya elimu za mfamo mtu anajifanya kua ni PhD holder kumbe ni diploma holder,wengine huja kama wanafunzi wa field lakini wanazamia moja kwa moja, wanagushi vyeti kuzidanganya idara za serikali ili kuendelea kuishi nchini.


Kwanini haya yanafanyika?
Ni kwamba kutokana na kukosekana kwa solo la ajira nchi Nigeria wahamiaji hawa hukimbilia Tanzania wakidhani ndio fursa kwao pa kupatia sehemu muhimu ya kujikimu kimaisha.Ni wengi sana kwa kila idara ndani ya chuo hicho wanalipwa kiasi kidogo sana cha malipo kufanya kazi tofauti na wahadhiri wa Tanzania kwa maana kwamba wao wako tayari kupokea chochote kikubwa waendelee kubaki Tanzania maana kwa ajira ni tatizo.


Soko la ajira limeingiliwa,

Ni vyema serikali kufauatilia kwa umakini madai haya maana haiwezekani mtu mwenye diploma au first degree kufanya kazi za mtu mwenye masters au PhD, ni imani yangu kua watanzania wa Level hiyo wako wengi sana lakini kwa sababu hawa ni cheap na nia yao ni kupata chochote bila kujali viwango vyao vya elimu basi wanarudikwa tu. Kwa sasa nchini takribani miaka mitatu mfululizo kuna wahimu wa kada muhimu kama Afya na sayansi shirikishi wamejaa mtaani hawana ajira hivyo hakuna sababu ya kurundika wageni kiasi hiki.

Hawa walishasoma udhaifu wa mifumo yetu yote kuanzia.. immigration, Labor, - work permits, udhaifu wa mfumo wa elimu yetu ndiyo maana wanaweza kupenyeza kirahisi
 
huko kwenye shule za english medium wamejaa wamalawi, wakenya na waganda kibao tena ni form four liver na hawana kibali. uhamiaji wanajua haya
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom