Serikali iwe makini, isikurupuke kurudisha mtandao wa intaneti

Hii nchi ina maadui wengi sana wa kiuchumi na kisiasa ambao hawaitakii mema. Hivyo serikali iwe makini.

Hizi ni nyakati mbaya sana maana mitandao inatumika vibaya na mara nyingi hutumika hata kuiba siri za nchi na kueneza propaganda za uongo.

Tumeshuhudia wadukuzi wakifanya udukuzi kwa kueneza propagada za uongo na kusababisha taharuki hasa nyakati za uchaguzi. Mimi binafsi naipongeza Serikali kwa hatua ilizofanya kwa maslahi ya taifa letu.

Hatujui akina Amsterdam na baadhi ya mabeberu walikuwa na mpango gani wa kudukua na kuingilia mawasiliano ya mtandao wa serikali yetu ili kuvuruga uchaguzi.
Kama unaona hakuna umuhimu huo, ungeona pia umuhimu wa kutoandika uliyoandika kwa kutumia mtandao. 'Otherwise, you are not true to yourself'.
 
Hii nchi ina maadui wengi sana wa kiuchumi na kisiasa ambao hawaitakii mema. Hivyo serikali iwe makini.

Hizi ni nyakati mbaya sana maana mitandao inatumika vibaya na mara nyingi hutumika hata kuiba siri za nchi na kueneza propaganda za uongo.

Tumeshuhudia wadukuzi wakifanya udukuzi kwa kueneza propagada za uongo na kusababisha taharuki hasa nyakati za uchaguzi. Mimi binafsi naipongeza Serikali kwa hatua ilizofanya kwa maslahi ya taifa letu.

Hatujui akina Amsterdam na baadhi ya mabeberu walikuwa na mpango gani wa kudukua na kuingilia mawasiliano ya mtandao wa serikali yetu ili kuvuruga uchaguzi.
Mwenzetu hii huduma ya internet umeipataje? Je unajua ni kazi ngapi zimekwama kutokana na kukosekana kwa huduma ya internet? Pia kumbuka shughuli mbalimbali za Serikali kwa sasa zinategemea internet ikiwa ni pamoja na malipo.
 
Hii nchi ina maadui wengi sana wa kiuchumi na kisiasa ambao hawaitakii mema. Hivyo serikali iwe makini.

Hizi ni nyakati mbaya sana maana mitandao inatumika vibaya na mara nyingi hutumika hata kuiba siri za nchi na kueneza propaganda za uongo.

Tumeshuhudia wadukuzi wakifanya udukuzi kwa kueneza propagada za uongo na kusababisha taharuki hasa nyakati za uchaguzi. Mimi binafsi naipongeza Serikali kwa hatua ilizofanya kwa maslahi ya taifa letu.

Hatujui akina Amsterdam na baadhi ya mabeberu walikuwa na mpango gani wa kudukua na kuingilia mawasiliano ya mtandao wa serikali yetu ili kuvuruga uchaguzi.
Ww aliyekwambia serikali imezima internet ni nani,kama hujui mambo ya IT ni afadhali ukae kimya tu kuliko kuanzisha thead usiyojua unaongea nn.
 
Mpuuzi kama wewe wakufollow wewe? Uliedangaya watu humu Jf kuwa kuna watu wanaorodhesha vitambulisho vya kura wizara ya maji? Nafikiri ulisha liwa sana makalio mpaka akili zikavurugika.
Siyo Kosa langu bali 'mlaumu' Mwenyezi Mungu kwa kunifanya niwe 'Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer' hivi sawa?
 
Hii nchi ina maadui wengi sana wa kiuchumi na kisiasa ambao hawaitakii mema. Hivyo serikali iwe makini.

Hizi ni nyakati mbaya sana maana mitandao inatumika vibaya na mara nyingi hutumika hata kuiba siri za nchi na kueneza propaganda za uongo.

Tumeshuhudia wadukuzi wakifanya udukuzi kwa kueneza propagada za uongo na kusababisha taharuki hasa nyakati za uchaguzi. Mimi binafsi naipongeza Serikali kwa hatua ilizofanya kwa maslahi ya taifa letu.

Hatujui akina Amsterdam na baadhi ya mabeberu walikuwa na mpango gani wa kudukua na kuingilia mawasiliano ya mtandao wa serikali yetu ili kuvuruga uchaguzi.
Wewe ni mmoja wa wajinga kutoka chattle.
 
Hii nchi ina maadui wengi sana wa kiuchumi na kisiasa ambao hawaitakii mema. Hivyo serikali iwe makini.

Hizi ni nyakati mbaya sana maana mitandao inatumika vibaya na mara nyingi hutumika hata kuiba siri za nchi na kueneza propaganda za uongo.

Tumeshuhudia wadukuzi wakifanya udukuzi kwa kueneza propagada za uongo na kusababisha taharuki hasa nyakati za uchaguzi. Mimi binafsi naipongeza Serikali kwa hatua ilizofanya kwa maslahi ya taifa letu.

Hatujui akina Amsterdam na baadhi ya mabeberu walikuwa na mpango gani wa kudukua na kuingilia mawasiliano ya mtandao wa serikali yetu ili kuvuruga uchaguzi.
we umeingiaje kwenye mtandao ..wao washindwe?
 
Hii nchi ina maadui wengi sana wa kiuchumi na kisiasa ambao hawaitakii mema. Hivyo serikali iwe makini.

Hizi ni nyakati mbaya sana maana mitandao inatumika vibaya na mara nyingi hutumika hata kuiba siri za nchi na kueneza propaganda za uongo.

Tumeshuhudia wadukuzi wakifanya udukuzi kwa kueneza propagada za uongo na kusababisha taharuki hasa nyakati za uchaguzi. Mimi binafsi naipongeza Serikali kwa hatua ilizofanya kwa maslahi ya taifa letu.

Hatujui akina Amsterdam na baadhi ya mabeberu walikuwa na mpango gani wa kudukua na kuingilia mawasiliano ya mtandao wa serikali yetu ili kuvuruga uchaguzi.
Kumbe watanzania wasiojitambua bado mpo?

Sent from my TA-1024 using JamiiForums mobile app
 
Umetumia muda mwingi kuandika ujinga.kwa akili hizi ni haki tuendelee kua nchi ya dunia ya tatu.
 
Halafu alivyo mpumbavu anasahau kwamba hivi sasa anaandika huo ujinga wake kwa sababu ya uwepo wa hiyo hiyo intanet anayotaka isirudishwe!!

Na dunia ya leo leo ukitaka kujua top losers basi angalia percdeption yao towards the internet... yaani inadhani intaneti ni kwa ajili ya social media, na wala haijui kwamba biashara nyingi hivi sasa zimehamia kwenye social media!!, na bado zinaendelea kuhamia huko
Wajinga ni wengi sana ndugu.Karne hii mtu bado hajui umuhimu wa internet wakat huo huo anaitumia kutapikia ujinga wake.
 
Kuna watu wanafanya biashara kwenye mitandao hii hii E-commerce na wanalipia kodi na wamejiajiri serikali inalifahamu hilo vizuri sana, hivyo serikali iache mambo ya kipuuzi ifanye mambo yanayoweza yakaiondoa hii nchi hapa ilipo, iachane na haya mambo ya kipuuzi.
 
Hii nchi ina maadui wengi sana wa kiuchumi na kisiasa ambao hawaitakii mema. Hivyo serikali iwe makini.

Hizi ni nyakati mbaya sana maana mitandao inatumika vibaya na mara nyingi hutumika hata kuiba siri za nchi na kueneza propaganda za uongo.

Tumeshuhudia wadukuzi wakifanya udukuzi kwa kueneza propagada za uongo na kusababisha taharuki hasa nyakati za uchaguzi. Mimi binafsi naipongeza Serikali kwa hatua ilizofanya kwa maslahi ya taifa letu.

Hatujui akina Amsterdam na baadhi ya mabeberu walikuwa na mpango gani wa kudukua na kuingilia mawasiliano ya mtandao wa serikali yetu ili kuvuruga uchaguzi.
Use your brain to think,not your bowels.
 
Back
Top Bottom