UkweliUsiosemwa
Member
- Jul 18, 2020
- 9
- 15
SERIKALI IWE MACHO NA MATUMIZI YA FEDHA ZA CHAMA CHA WALIMU TANZANIA
Nimekua nikifuatilia yanayoendelea katika mitandao ya kijamii, na vikao mbalimbali ya vyama vya wafanyakazi nchini, leo nitajikita kuongelea Chama cha Walimu Tanzania (CWT)
Chama cha walimu Tanzania ni chama wafanyakazi ambacho kina idadi kubwa ya walimu ,kina jumla ya wachangiaji Laki 240000 + kwa mujibu wa TAKWIMU ZAO kabla ya MEI mosi 2021
kina kadiliwa kinakusanya sio chini ya bilion tatu kila mwezi fedha za 2% kwa mujibu wa katiba yao, ni fedha nyingi sana
changamoto kubwa ipo katika matumizi ya fedha hizo, serikali muda wa kubadilisha sheria umefika MKAGUZI MKUU wa serikali awe anakagua fedha za vyama vya wafanyakazi kila mwaka kama wanavyofanya kwa vyama vya siasa ambavyo mapato yao hayafiki hata nusu ya chama cha walimu Tanzania.
Serikali ikiendelea kukaa kimya na kutoyafanyia kazi madai ya walimu juu ya matumizi ya fedha za chama chao ipo siku watakumbuka ukumbusho huu, ipo siku isio na jina atakuja mzalendo atalisimamia ili na wapo viongozi watafungwa, fedha ya UMMA lazima ilindwe, tumeona baadhi ya viongozi wa serikali wakiwasifia viongozi wa kitaifa CWT kuna muda tukiwa na akili timamu tunajiuliza anaujua ukweli au amepotoshwa.
SISI WANACHAMA HATUTAKI KUSEMA NANI ANAFANYA NINI CWT, NANI MWIZI TUNACHOITAKA SERIKALI NI KUPELEKA KIKOSI KAZI CHA WAADILIFU NA WAZUNGUKE WILAYA ZOTE WATAPATA UKWELI, MUDA NDIO MKWELI
Kuna wilaya mpaka sasa hawajapata tisheti baadhi ya vituo, kofia mpaka sasa hazijafika kwa idadi ya wanaochangia ,mkono wa kwa heri kwa wastahafu tokea mwaka 2018 bado walimu hawajapata.
Ushauri kwa viongozi wa serikali hata kama wale viongozi wa kitaifa top five(CWT) ni marafiki zao unafaidika nao kwa namna moja au nyingine usikurupuke kumtetea jukwaani utapata aibu huko mbele ya safari, wanachama wanajua yanayoendelea.
WANACHAMA WA CHAMA CHA WALIMU TANZANIA SIO WAJINGA
Nimekua nikifuatilia yanayoendelea katika mitandao ya kijamii, na vikao mbalimbali ya vyama vya wafanyakazi nchini, leo nitajikita kuongelea Chama cha Walimu Tanzania (CWT)
Chama cha walimu Tanzania ni chama wafanyakazi ambacho kina idadi kubwa ya walimu ,kina jumla ya wachangiaji Laki 240000 + kwa mujibu wa TAKWIMU ZAO kabla ya MEI mosi 2021
kina kadiliwa kinakusanya sio chini ya bilion tatu kila mwezi fedha za 2% kwa mujibu wa katiba yao, ni fedha nyingi sana
changamoto kubwa ipo katika matumizi ya fedha hizo, serikali muda wa kubadilisha sheria umefika MKAGUZI MKUU wa serikali awe anakagua fedha za vyama vya wafanyakazi kila mwaka kama wanavyofanya kwa vyama vya siasa ambavyo mapato yao hayafiki hata nusu ya chama cha walimu Tanzania.
Serikali ikiendelea kukaa kimya na kutoyafanyia kazi madai ya walimu juu ya matumizi ya fedha za chama chao ipo siku watakumbuka ukumbusho huu, ipo siku isio na jina atakuja mzalendo atalisimamia ili na wapo viongozi watafungwa, fedha ya UMMA lazima ilindwe, tumeona baadhi ya viongozi wa serikali wakiwasifia viongozi wa kitaifa CWT kuna muda tukiwa na akili timamu tunajiuliza anaujua ukweli au amepotoshwa.
SISI WANACHAMA HATUTAKI KUSEMA NANI ANAFANYA NINI CWT, NANI MWIZI TUNACHOITAKA SERIKALI NI KUPELEKA KIKOSI KAZI CHA WAADILIFU NA WAZUNGUKE WILAYA ZOTE WATAPATA UKWELI, MUDA NDIO MKWELI
Kuna wilaya mpaka sasa hawajapata tisheti baadhi ya vituo, kofia mpaka sasa hazijafika kwa idadi ya wanaochangia ,mkono wa kwa heri kwa wastahafu tokea mwaka 2018 bado walimu hawajapata.
Ushauri kwa viongozi wa serikali hata kama wale viongozi wa kitaifa top five(CWT) ni marafiki zao unafaidika nao kwa namna moja au nyingine usikurupuke kumtetea jukwaani utapata aibu huko mbele ya safari, wanachama wanajua yanayoendelea.
WANACHAMA WA CHAMA CHA WALIMU TANZANIA SIO WAJINGA