mzee wa giningi
JF-Expert Member
- Nov 1, 2016
- 519
- 336
Nichukue nafasi hii kuiomba serikali kuwapa ufadhili wanafunzi wote waliochaguliwa vyuo vya serikali kusomea diploma ya ualimu wa sayansi ili kuwasaidia hawa wanafunzi wasome maana wengi hawawezi kujilipia kufatana na gharama za masomo kuwa kubwa hii itasaidia kuziba pengo la upungufu wa walimu wa sayansi mfano vyuo vya Kleruu TTC, Monduli TTC nk.