Serikali iwasaidie wananchi wanaopukutika kwa Radi huko Mbeya, Rukwa, Katavi na kwingineko

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,548
217,818
Takwimu za kizamani bado zinaonyesha kwamba Chanzo kikuu cha vifo vya wanadamu ni maradhi , kwamba Wengi wanaopoteza maisha ni wale kwanza waliumwa na baada ya jitihada za madaktari kushindikana hufariki .

Lakini kwa maeneo mengine takwimu mpya zinaonyesha kwamba kumeibuka chanzo kipya cha vifo kinachoitwa Radi , sasa hivi si ajabu tena kila inyeshapo mvua kusikia radi imeua watu kadhaa eneo fulani , Radi imeibuka kuwa chanzo madhubuti cha vifo huko nyanda za Juu kusini, Mbeya, Katavi, Rukwa na sasa Kigoma na Tabora , kwa Mfano sasa hivi kule Kyela , na hasa maeneo ya boda ya Kasumulu , kijiji cha Isaki , Njisi , Lubele na Mbako ni maeneo hatari mno kwa radi , watu kadhaa wamepoteza maisha na wengine kujeruhiwa vibaya sana kwa kipindi kifupi cha miaka mitano hivi iliyopita.

Naiomba sana serikali ichukulie janga hili jipya la radi kama chanzo kipya cha vifo vya halaiki kwa binadamu na wanyama , hatua za kisayansi za kulinda maisha na uhai wa watu zichukuliwe haraka , kama tulichukua hatua kwenye Kipindupindu na Corona basi hatuna budi kufanya hivyo kuikabili radi pia .

Kazi Iendelee .
 
Takwimu za kizamani bado zinaonyesha kwamba Chanzo kikuu cha vifo vya wanadamu ni maradhi , kwamba Wengi wanaopoteza maisha ni wale kwanza waliumwa na baada ya jitihada za madaktari kushindikana hufariki .

Lakini kwa maeneo mengine takwimu mpya zinaonyesha kwamba kumeibuka chanzo kipya cha vifo kinachoitwa Radi , sasa hivi si ajabu tena kila inyeshapo mvua kusikia radi imeua watu kadhaa eneo fulani , Radi imeibuka kuwa chanzo madhubuti cha vifo huko nyanda za Juu kusini, Mbeya, Katavi, Rukwa na sasa Kigoma na Tabora , kwa Mfano sasa hivi kule Kyela , na hasa maeneo ya boda ya Kasumulu , kijiji cha Isaki , Njisi , Lubele na Mbako ni maeneo hatari mno kwa radi , watu kadhaa wamepoteza maisha na wengine kujeruhiwa vibaya sana kwa kipindi kifupi cha miaka mitano hivi iliyopita.

Naiomba sana serikali ichukulie janga hili jipya la radi kama chanzo kipya cha vifo vya halaiki kwa binadamu na wanyama , hatua za kisayansi za kulinda maisha na uhai wa watu zichukuliwe haraka , kama tulichukua hatua kwenye Kipindupindu na Corona basi hatuna budi kufanya hivyo kuikabili radi pia .

Kazi Iendelee .
Kama kuna mkoa unaongoza kwa watu wake kupukutika kwa radi basi ni Geita na Kagera.
 
Takwimu za kizamani bado zinaonyesha kwamba Chanzo kikuu cha vifo vya wanadamu ni maradhi , kwamba Wengi wanaopoteza maisha ni wale kwanza waliumwa na baada ya jitihada za madaktari kushindikana hufariki .

Lakini kwa maeneo mengine takwimu mpya zinaonyesha kwamba kumeibuka chanzo kipya cha vifo kinachoitwa Radi , sasa hivi si ajabu tena kila inyeshapo mvua kusikia radi imeua watu kadhaa eneo fulani , Radi imeibuka kuwa chanzo madhubuti cha vifo huko nyanda za Juu kusini, Mbeya, Katavi, Rukwa na sasa Kigoma na Tabora , kwa Mfano sasa hivi kule Kyela , na hasa maeneo ya boda ya Kasumulu , kijiji cha Isaki , Njisi , Lubele na Mbako ni maeneo hatari mno kwa radi , watu kadhaa wamepoteza maisha na wengine kujeruhiwa vibaya sana kwa kipindi kifupi cha miaka mitano hivi iliyopita.

Naiomba sana serikali ichukulie janga hili jipya la radi kama chanzo kipya cha vifo vya halaiki kwa binadamu na wanyama , hatua za kisayansi za kulinda maisha na uhai wa watu zichukuliwe haraka , kama tulichukua hatua kwenye Kipindupindu na Corona basi hatuna budi kufanya hivyo kuikabili radi pia .

Kazi Iendelee .
Wanayakyusa bwana ni watu wabinafsi sana

Ishu ya Kyela unataka Ufanye ishu ya kitaifa

Hivi miaka ya 1995 mpaka 2001.Tukuyu na Kyela wapi kulikuwa na radi za kutisha?

Miaka hiyo unakaa Tukuyu ukifua blanket halikauki mwezi mzima, Ni mvua na radi usiku kucha, Sikuwahi sikia wanyakyusa na sisi wageni tukilalamika serikalini kuhusu radi

Hapo Tukuyu miaka hiyo unaweza kukaa week mbili huoni mwanga wa Jua, Ni ukungu na Mvua zisizoisha na radi ilikuwa inakausha miti balaa, Watu walitulia kimya

Ingawa wanyakyusa ni washamba sana kwa ujumla wao lakini wanyakyusa wa Kyela ni washamba kupita kiasi


Mleta mada wewe ni typical mnyakyusa wa Kyela kwa jinsi tu ulivyoeleza na ubinafsi wa uandishi wako

Maajabu haya na mabadiliko makubwa ya tabia nchi, sasa Kyela kuna radi za kutisha kuliko Tukuyu

Any way Yawezekana Dar es Salaam kukawa na baridi zaidi ya Makete kwa miaka ya sasa kutokana na mabadiliko ya tabia nchi
 
Wanayakyusa bwana ni watu wabinafsi sana

Ishu ya Kyela unataka Ufanye ishu ya kitaifa

Hivi miaka ya 1995 mpaka 2001.Tukuyu na Kyela wapi kulikuwa na radi za kutisha?

Miaka hiyo unakaa Tukuyu ukifua blanket halikauki mwezi mzima, Ni mvua na radi usiku kucha, Sikuwahi sikia wanyakyusa na sisi wageni tukilalamika serikalini kuhusu radi

Hapo Tukuyu miaka hiyo unaweza kukaa week mbili huoni mwanga wa Jua, Ni ukungu na Mvua zisizoisha na radi ilikuwa inakausha miti balaa, Watu walitulia kimya

Ingawa wanyakyusa ni washamba sana kwa ujumla wao lakini wanyakyusa wa Kyela ni washamba kupita kiasi


Mleta mada wewe ni typical mnyakyusa wa Kyela kwa jinsi tu ulivyoeleza na ubinafsi wa uandishi wako

Maajabu haya na mabadiliko makubwa ya tabia nchi, sasa Kyela kuna radi za kutisha kuliko Tukuyu

Any way Yawezekana Dar es Salaam kukawa na baridi zaidi ya Makete kwa miaka ya sasa kutokana na mabadiliko ya tabia nchi
Mkuu mbona unanishambulia bila kosa lolote ? mimi siwezi kusemea ya Tukuyu ambayo siyajui , nimeeleza ya Kyela ambako ni nyumbani na ninao ushahidi .

Umenishambulia kwa kunionea sana , tena nimeikumbusha serikali kusaidia raia wote bila kujali waliko .
 
Hawaweki earth wire KWENYE nyumba ZAO kuzuia radi!!!?
Hahaaa!!mkuu huko kuna radi hizo hata uweke earth wire bora kama Za kwenye mitambo ya nyukria hazitaweza kuzuia kitu kwani kuna radi nyingine huko haziwezi kuwa directed, na mitambo ya mzungu!!ukienda kule Rukwa unakuta kuna baadhi ya maeneo kila nguzo imewekewe kizuia radi lakini bado sio suruhisho!!
Inabidi serikali waangalie, jinsi ya kuzibiti hizi za kawaida, lakini zile nyingine za kiafrika ni ngumu!!
Wewe radi gani ya kwenye jua kaliii!!
 
Mkuu mbona unanishambulia bila kosa lolote ? mimi siwezi kusemea ya Tukuyu ambayo siyajui , nimeeleza ya Kyela ambako ni nyumbani na ninao ushahidi .

Umenishambulia kwa kunionea sana , tena nimeikumbusha serikali kusaidia raia wote bila kujali waliko .
Nimeyaongea haya kwasababu hayo maeneo nayafahamu na tabia za watu wa huko nazifahamu sana vizuri

Zamani hayo maeneo ya Tukuyu na Kyela watu tulikuwa tukibadilishana gunia la mpunga kwa mahindi

Ningekubali ungesema tatizo la mafuriko lipo sana Kyela kwa kuwa ni tambarare na maeneo mengi ya Tukuyu ni miinuko hivyo si rahisi sana watu wa Tukuyu kulalamika kuhusu mafuriko

Ishu ya radi kuwa ni nyingi Kyela kuliko Tukuyu ndio nina mashaka na uhalisia

Ishu ya kukuza mambo na kuzani ni ya kitaifa kwa wanyakyusa ni kawaida sana, Wanyakyusa wanafikiri kila mtu anajua kinyakyusa huko Tukuyu na Kyela kumbe watu Wengine lugha hiyo wameisikia huko wala hawakujua kuna lugha hiyo

Maisha ya huko kwenu ni bomba sana kwa vyakula tatizo ni uchawi uchawi mpaka watu wakifika Dar hawarudi tena kujenga miji ya Kyela na Tukuyu

Tukuyu na Kyela imekuwa miji kama watu walihama enzi za ukoloni

Ishu ya radi hapa imenichekesha sana, Kyela kuna radi au mnasikia ngurumo za radi toka Tukuyu
 
Takwimu za kizamani bado zinaonyesha kwamba Chanzo kikuu cha vifo vya wanadamu ni maradhi , kwamba Wengi wanaopoteza maisha ni wale kwanza waliumwa na baada ya jitihada za madaktari kushindikana hufariki .

Lakini kwa maeneo mengine takwimu mpya zinaonyesha kwamba kumeibuka chanzo kipya cha vifo kinachoitwa Radi , sasa hivi si ajabu tena kila inyeshapo mvua kusikia radi imeua watu kadhaa eneo fulani , Radi imeibuka kuwa chanzo madhubuti cha vifo huko nyanda za Juu kusini, Mbeya, Katavi, Rukwa na sasa Kigoma na Tabora , kwa Mfano sasa hivi kule Kyela , na hasa maeneo ya boda ya Kasumulu , kijiji cha Isaki , Njisi , Lubele na Mbako ni maeneo hatari mno kwa radi , watu kadhaa wamepoteza maisha na wengine kujeruhiwa vibaya sana kwa kipindi kifupi cha miaka mitano hivi iliyopita.

Naiomba sana serikali ichukulie janga hili jipya la radi kama chanzo kipya cha vifo vya halaiki kwa binadamu na wanyama , hatua za kisayansi za kulinda maisha na uhai wa watu zichukuliwe haraka , kama tulichukua hatua kwenye Kipindupindu na Corona basi hatuna budi kufanya hivyo kuikabili radi pia .

Kazi Iendelee .
Kasulu Kigoma huku kipindi cha Masika kikiisha ndiyo unapumua sasa.
 
Back
Top Bottom