Serikali iwasaidie vijana wanaokaa mitaani bila kazi

rkerage17

New Member
Jul 22, 2011
1
0
Inaumiza sana kuona kijana akirandaranda mtaani bila kazi tena mhitimu wa chuo,kidato cha sita au cha nne bila kazi halafu anasema anapambana na umasikini. je kwa staili hii kweli tutaendelea hasa kwa vijana ambao ni taifa la leo na kesho? Shuleni ukienda ndio hakuna hata walimu wa kuwafundisha vijana kinachotokea wanafunzi wanawahi kuondoka kwenda majumbani mwao,sehemu za starehe n.k. bila ruhusa kwa sababu hakuna masomo, walimu wa kuwaongoza au kama wapo wanachukulia poa wanafunzi wanaotoroka, ratiba, je kwa jinsi hii tutaingia kwenye ulimwengu wa ushindani hasa kiajira utafiti, biashara na elimu? Tutakunywa wenyewe sumu tunayoitengeneza, tunaomba wahusika hasa serikali ichukue tahadhali kwani tukiendelea hivi tutakuwa wasindikizaji tu siku zote.
 
Inaumiza sana kuona kijana akirandaranda mtaani bila kazi tena mhitimu wa chuo,kidato cha sita au cha nne bila kazi halafu anasema anapambana na umasikini. je kwa staili hii kweli tutaendelea hasa kwa vijana ambao ni taifa la leo na kesho? Shuleni ukienda ndio hakuna hata walimu wa kuwafundisha vijana kinachotokea wanafunzi wanawahi kuondoka kwenda majumbani mwao,sehemu za starehe n.k. bila ruhusa kwa sababu hakuna masomo, walimu wa kuwaongoza au kama wapo wanachukulia poa wanafunzi wanaotoroka, ratiba, je kwa jinsi hii tutaingia kwenye ulimwengu wa ushindani hasa kiajira utafiti, biashara na elimu? Tutakunywa wenyewe sumu tunayoitengeneza, tunaomba wahusika hasa serikali ichukue tahadhali kwani tukiendelea hivi tutakuwa wasindikizaji tu siku zote.
Unamuomba nani wewe? Nani anakusikiliza? Hiyo ndiyo taabu ya wabongo. Dai haki yako.
 
Back
Top Bottom