mpimamstaafu
JF-Expert Member
- Jul 18, 2018
- 4,445
- 4,704
Hakika Timu ya Taifa ya Tsnzanite inastahili Pongezi za dhati kwa juhudi kubwa walioonyesha ktk Michuano ya COSAFA Under 20 huko Afrika ya Kusini na Kutwaa Kombe la Ubingwa kwa Kuichabanga Zambia 2-1.
Namwomba Mh.Rais wetu awafikirie Vijana hawa japo Viwanja vya kujenga kule Dodoma kama alivyofanya kwa Taifa Stars.
Vijana hawa wamelitangaza Vema Taifa letu na kutuletea Kombe.
Namwomba Mh.Rais wetu awafikirie Vijana hawa japo Viwanja vya kujenga kule Dodoma kama alivyofanya kwa Taifa Stars.
Vijana hawa wamelitangaza Vema Taifa letu na kutuletea Kombe.