Optic nerve
Member
- Mar 18, 2019
- 19
- 20
Walimu wa Tanzania ni kada inayodharauliwa sana,walimu wanaamini kuwa mchawi wa mwalimu ni mwalimu,ikimaanisha kuwa mwalimu akiwa kiongozi,huwa anawakandamiza walimu kimaslahi hata kuwa dharau huku akiwanyima maslahi walimu japo yapo kisheria.Mifano inaanzia chini kabisa,wakuu wa shule,afisa elimu kata,maafisa elimu wilayan na mikoan,hawa ni wachaw wa walimu katika harakati za walimu kuinuka kiuchumi.Ukotoka huko uangalia viongoz wengi wa kisiasa waliopitia au kuwahi kuwa walimu ni wachawi wa akubwa wa walimu,agalia naibu wazir tamisemi huyu mkurya,amesitisha makusudi kabisa uhamisho kwenye kada ya ualimu ambao upo kisheria na kikanuni.Wazir mkuu ni mwalimu,mkuu wa nchi na mke wake ni walimu hata kututetea maslahi ya walimu hawako tayari.Serikali inatambua walimu ni kada ya kimaskin inayodharauliwa na wanalipwa kidogo,walimu wengi hawana uwezo na wengi wao wamepanga nyumba,serikali imejitoa katika kulipa house allowance kama kada zingine ili kumrahisishia ugumu wa maisha huyu mwalimu ili watufundishie vzr watoto wetu.