MoseKing
JF-Expert Member
- Jul 5, 2017
- 4,924
- 8,911
Habari wadau wa JF !
Hakuna mtu asiyejua kwamba, kwa dunia ya leo "Ubunifu" ndio kila kitu.
- Lakini kutokana ukosefu wa mitaji kianzio na fedha za usajiri, vijana wabunifu wamekuwa wakiibiwa mawazo yao ndani ya usiku mmoja tena waliyoyahangaikia mpaka kukondeana miaka mingi wanapokuwa wanaenda kupitch na kutafuta wafadhili.
- Naamini wabunifu mnajua ni namna gani kazi ya kufikiria ilivyo ngumu na kama unadhani ni rahisi hebu jaribu kufikiria " Just a simple, short, catchy, sound and attractive company or brand name" uione shughuli yake.
- Kwa muktadha huu nilikuwa naiomba serikali ijaribu kuwatupia macho wabunifu hawa ili waweze kujikwamua kutokana na jasho lao kama mmoja wa wabunifu SYLVESTER STALYONE alivyofanikiwa.
Cc Charles Mwijage, Waziri wa Viwanda na Biashara
Hakuna mtu asiyejua kwamba, kwa dunia ya leo "Ubunifu" ndio kila kitu.
- Lakini kutokana ukosefu wa mitaji kianzio na fedha za usajiri, vijana wabunifu wamekuwa wakiibiwa mawazo yao ndani ya usiku mmoja tena waliyoyahangaikia mpaka kukondeana miaka mingi wanapokuwa wanaenda kupitch na kutafuta wafadhili.
- Naamini wabunifu mnajua ni namna gani kazi ya kufikiria ilivyo ngumu na kama unadhani ni rahisi hebu jaribu kufikiria " Just a simple, short, catchy, sound and attractive company or brand name" uione shughuli yake.
- Kwa muktadha huu nilikuwa naiomba serikali ijaribu kuwatupia macho wabunifu hawa ili waweze kujikwamua kutokana na jasho lao kama mmoja wa wabunifu SYLVESTER STALYONE alivyofanikiwa.
Cc Charles Mwijage, Waziri wa Viwanda na Biashara