Kiboko ya Jiwe
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 12,701
- 36,119
Habari!
Yaani bila aibu Mtanzania, mtendaji wa kata, mtaa na wilaya anaomba rushwa kwa vijana walioomba nafasi za kuhesabu watu.
Hii ni aibu na ukatili mkubwa.
Kijana ambaye hana ajira unathubutu vipi kumwomba rushwa ili apate ajira?
Naamini sio wote wanaofanya huu uhuni ila nimefanya utafiti na kujiridhisha kwa baadhi ya watendaji hapa Dar es salaam hili zoezi la sensa wameligeuza dili.
Je, Watanzania ni lini tutaamua kuwa waaminifu kwa kila jambo?
Serikali angalau wakemee kwenye media huu urasimu, na mabinti wengine wanaombwa tendo la ndoa.
Hii ni aibu.
Niko tayari kutoa ushirikiano endapo mtu au taasisi itahitaji ushirikiano katika hili.
Yaani bila aibu Mtanzania, mtendaji wa kata, mtaa na wilaya anaomba rushwa kwa vijana walioomba nafasi za kuhesabu watu.
Hii ni aibu na ukatili mkubwa.
Kijana ambaye hana ajira unathubutu vipi kumwomba rushwa ili apate ajira?
Naamini sio wote wanaofanya huu uhuni ila nimefanya utafiti na kujiridhisha kwa baadhi ya watendaji hapa Dar es salaam hili zoezi la sensa wameligeuza dili.
Je, Watanzania ni lini tutaamua kuwa waaminifu kwa kila jambo?
Serikali angalau wakemee kwenye media huu urasimu, na mabinti wengine wanaombwa tendo la ndoa.
Hii ni aibu.
Niko tayari kutoa ushirikiano endapo mtu au taasisi itahitaji ushirikiano katika hili.