Serikali itwambie ukweli kuhusu inflation na thamani halisi ya pesa. Gharama za maisha zimepanda sana

Missile of the Nation

JF-Expert Member
May 24, 2018
13,495
51,089
Siku hizi ukiwa na shilingi elfu 10, inayoyoma kama upepo, thsmani ya pesa haipo kabisa
Maisha ya wananchi yanazidi kuwa juu na magumu.
Wakati serikali haikuongeza stahiki za wafanyakazi kwa miaka Sita sasa, lakini imewazunguuka na kuwaongezea TOZO lukuki na kodi Lukuki na hivyo kuifanya Quality ya maisha yao izidi kushuka.

Wakati huohuo bidhaa muhimu zinaendelea kupanda bei, Mafuta, Mchele, Sukari, Mkate vyote viko juu

Tunataka serikali ije na takwimu halisi kuhusu thamani ya shilingi yetu, mbona hela inayoyoma sana na pia inakuwa ngumu sana kupata inayokidhi maisha ya kila siku?

Serikali inaweza kudhani kuwa hizi TOZO ndiyo suluhisho kwa yenyewe kupata hela za kufanya mambo yske ikiwemo miradi mikubwa lakini mimi naona kuwa hii solution ya muda mfupi tu, na itajikuta kila mwaka hata hizo tozo zinapungua maana maisha ya wananchi yanazidi. kuwa magumu, na wananchi wengi wanarudi katika umasikini uliotopea

Kibaya zaidi, Serikali haibani matumizi, kutwa kucha watu wako barabarani Dar-Dodom, Dodoma-Dar. Hata Spika Ndugai amehoji shughuli za serikali kuwa Dar

Serikali itueleze, Hali ya inflation nchini ikoje, maana this is too much, Hela zinapukutika kama chuma ulete
 
Huu ndiyo wakati mzuri wa kukumbuka Yale mazuri ya JPM likiwemo na hili la ku hold inflation kwa miaka 5, hata kama hakupandisha mishahara angalau hiyo 10,000 ilikuwa na thamani

Mwezi March mwaka huu petrol na diesel zilikuwa chini ya shilingi 1,650 hapa dar. Sasa mchwa umeingia kazini Cha moto tutakiona.
 
Siku hizi ukiwa na shilingi elfu 10, inayoyoma kama upepo, thsmani ya pesa haipo kabisa
Maisha ya wananchi yanazidi kuwa juu na magumu.
Wakati serikali haikuongeza stahiki za wafanyakazi kwa miaka Sita sasa, lakini imewazunguuka na kuwaongezea TOZO lukuki na kodi Lukuki na hivyo kuifanya Quality ya maisha yao izidi kushuka.

Wakati huohuo bidhaa muhimu zinaendelea kupanda bei, Mafuta, Mchele, Sukari, Mkate vyote viko juu

Tunataka serikali ije na takwimu halisi kuhusu thamani ya shilingi yetu, mbona hela inayoyoma sana na pia inakuwa ngumu sana kupata inayokidhi maisha ya kila siku?

Serikali inaweza kudhani kuwa hizi TOZO ndiyo suluhisho kwa yenyewe kupata hela za kufanya mambo yske ikiwemo miradi mikubwa lakini mimi naona kuwa hii solution ya muda mfupi tu, na itajikuta kila mwaka hata hizo tozo zinapungua maana maisha ya wananchi yanazidi. kuwa magumu, na wananchi wengi wanarudi katika umasikini uliotopea

Kibaya zaidi, Serikali haibani matumizi, kutwa kucha watu wako barabarani Dar-Dodom, Dodoma-Dar. Hata Spika Ndugai amehoji shughuli za serikali kuwa Dar

Serikali itueleze, Hali ya inflation nchini ikoje, maana this is too much, Hela zinapukutika kama chuma ulete
Nchi imekwisha imekongoroka kabisa , maduka yanafungwa Daily , uwezo wa wananchi kununua vitu umesambaratika kabisa !
 
Siku hizi ukiwa na shilingi elfu 10, inayoyoma kama upepo, thsmani ya pesa haipo kabisa
Maisha ya wananchi yanazidi kuwa juu na magumu.
Wakati serikali haikuongeza stahiki za wafanyakazi kwa miaka Sita sasa, lakini imewazunguuka na kuwaongezea TOZO lukuki na kodi Lukuki na hivyo kuifanya Quality ya maisha yao izidi kushuka.

Wakati huohuo bidhaa muhimu zinaendelea kupanda bei, Mafuta, Mchele, Sukari, Mkate vyote viko juu

Tunataka serikali ije na takwimu halisi kuhusu thamani ya shilingi yetu, mbona hela inayoyoma sana na pia inakuwa ngumu sana kupata inayokidhi maisha ya kila siku?

Serikali inaweza kudhani kuwa hizi TOZO ndiyo suluhisho kwa yenyewe kupata hela za kufanya mambo yske ikiwemo miradi mikubwa lakini mimi naona kuwa hii solution ya muda mfupi tu, na itajikuta kila mwaka hata hizo tozo zinapungua maana maisha ya wananchi yanazidi. kuwa magumu, na wananchi wengi wanarudi katika umasikini uliotopea

Kibaya zaidi, Serikali haibani matumizi, kutwa kucha watu wako barabarani Dar-Dodom, Dodoma-Dar. Hata Spika Ndugai amehoji shughuli za serikali kuwa Dar

Serikali itueleze, Hali ya inflation nchini ikoje, maana this is too much, Hela zinapukutika kama chuma ulete
Tuwaulize Parallel state au Wanasesere??
 
Huu ndiyo wakati mzuri wa kukumbuka Yale mazuri ya JPM likiwemo na hili la ku hold inflation kwa miaka 5, hata kama hakupandisha mishahara angalau hiyo 10,000 ilikuwa na thamani

Mwezi March mwaka huu petrol na diesel zilikuwa chini ya shilingi 1,650 hapa dar. Sasa mchwa umeingia kazini Cha moto tutakiona.
Ibilisi Jiwe alikuwa na mazuri gani?? angalau siku hizi watu wana hata pakupazia sauti.
 
Nauli ya dala dala ni ile ile, nyumba za kupanga kodi ni ile ile. Mahindi ndio hayo yanauzwa nusu bei. Bei iliyopanda ni mafuta tu na baadhi ya vitu vichache na umeshaambiwa sababu. We ulitaka upate bidhaa na huduma za dezo?
Ndio hapo sasa. Na Ada shuleni zimeondolewa
 
Kilichopo ni kwamba serikali ilileta ile sheria ya takwimu ikiwa na kusudi lake yaani ili yenyewe ndio iwe chanzo pekee cha kutoa takwimu.

Matokeo yake kila siku tunalishwa takwimu feki wakifikiri inawasaidia kwa kufanya hivyo ni sawa na mfanya biashara anayefilisika kujitengenezea mahesabu ya uongo.

Ukweli ni kwamba mfumuko wa bei tulio nao sasa hivi umeshavuka na kufikia kiwango cha double digit lakini bado tunadanganywa kwamba ni asilimia sijui 5 au 6, uongo mtupu.

Hii sarafu yetu sasa hivi thamani yake halisi sio chini ya shilingi 2,800 kwa dola moja lakini it is fixed to Tzs 2,310-2,335 kwa dola moja ya Marekani. Haiwezekani kabisa ktk mazingira haya hii shilingi eti iwe na hiyo thamani tunayodanganywa nayo. BoT wanafanya siasa tu hawana lolote.
 
Bati toka tsh 17500 hadi kufikia tsh 22000 saruji toka tsh 20000 hadi tsh25000 alafu kuna wajinga wanasema nchi iko powa

MUNGU pekee ndo msaada kwa watanzania wa sasa
Kwani Nchi inaongozwa na Chadema?
Mbona mlisema wapinzani walituchelewesha Sana kupata maendeleo Sasa kelele za nini?
 
Huu ndiyo wakati mzuri wa kukumbuka Yale mazuri ya JPM likiwemo na hili la ku hold inflation kwa miaka 5, hata kama hakupandisha mishahara angalau hiyo 10,000 ilikuwa na thamani

Mwezi March mwaka huu petrol na diesel zilikuwa chini ya shilingi 1,650 hapa dar. Sasa mchwa umeingia kazini Cha moto tutakiona.
.... chama kinachotawala si bado ni kile kile? Tena Rais ni yule yule mgombea mwenza wakinadi sera zile zile ambazo ndio zinatekelezwa hadi leo?
 
Hii sarafu yetu sasa hivi thamani yake halisi sio chini ya shilingi 2,800 kwa dola moja lakini it is fixed to Tzs 2,310-2,335 kwa dola moja ya Marekani. Haiwezekani kabisa ktk mazingira haya hii shilingi eti iwe na hiyo thamani tunayodanganywa nayo. BoT wanafanya siasa tu hawana lolote.
Kwahiyo mkuu saa hivi 1$ sawa na 2800
 
Back
Top Bottom