Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 13,495
- 51,089
Siku hizi ukiwa na shilingi elfu 10, inayoyoma kama upepo, thsmani ya pesa haipo kabisa
Maisha ya wananchi yanazidi kuwa juu na magumu.
Wakati serikali haikuongeza stahiki za wafanyakazi kwa miaka Sita sasa, lakini imewazunguuka na kuwaongezea TOZO lukuki na kodi Lukuki na hivyo kuifanya Quality ya maisha yao izidi kushuka.
Wakati huohuo bidhaa muhimu zinaendelea kupanda bei, Mafuta, Mchele, Sukari, Mkate vyote viko juu
Tunataka serikali ije na takwimu halisi kuhusu thamani ya shilingi yetu, mbona hela inayoyoma sana na pia inakuwa ngumu sana kupata inayokidhi maisha ya kila siku?
Serikali inaweza kudhani kuwa hizi TOZO ndiyo suluhisho kwa yenyewe kupata hela za kufanya mambo yske ikiwemo miradi mikubwa lakini mimi naona kuwa hii solution ya muda mfupi tu, na itajikuta kila mwaka hata hizo tozo zinapungua maana maisha ya wananchi yanazidi. kuwa magumu, na wananchi wengi wanarudi katika umasikini uliotopea
Kibaya zaidi, Serikali haibani matumizi, kutwa kucha watu wako barabarani Dar-Dodom, Dodoma-Dar. Hata Spika Ndugai amehoji shughuli za serikali kuwa Dar
Serikali itueleze, Hali ya inflation nchini ikoje, maana this is too much, Hela zinapukutika kama chuma ulete
Maisha ya wananchi yanazidi kuwa juu na magumu.
Wakati serikali haikuongeza stahiki za wafanyakazi kwa miaka Sita sasa, lakini imewazunguuka na kuwaongezea TOZO lukuki na kodi Lukuki na hivyo kuifanya Quality ya maisha yao izidi kushuka.
Wakati huohuo bidhaa muhimu zinaendelea kupanda bei, Mafuta, Mchele, Sukari, Mkate vyote viko juu
Tunataka serikali ije na takwimu halisi kuhusu thamani ya shilingi yetu, mbona hela inayoyoma sana na pia inakuwa ngumu sana kupata inayokidhi maisha ya kila siku?
Serikali inaweza kudhani kuwa hizi TOZO ndiyo suluhisho kwa yenyewe kupata hela za kufanya mambo yske ikiwemo miradi mikubwa lakini mimi naona kuwa hii solution ya muda mfupi tu, na itajikuta kila mwaka hata hizo tozo zinapungua maana maisha ya wananchi yanazidi. kuwa magumu, na wananchi wengi wanarudi katika umasikini uliotopea
Kibaya zaidi, Serikali haibani matumizi, kutwa kucha watu wako barabarani Dar-Dodom, Dodoma-Dar. Hata Spika Ndugai amehoji shughuli za serikali kuwa Dar
Serikali itueleze, Hali ya inflation nchini ikoje, maana this is too much, Hela zinapukutika kama chuma ulete