Zero Hours
JF-Expert Member
- Apr 1, 2011
- 12,944
- 18,653
Naomba kushauri wizara husika kupima yale maji yaliyotumika kunawia mikono katika maeneo yenye concentration ya watu, ili kuweza kugundua kiasi cha maambukizi ya Covid 19.
Hii itasaidia serikal kujua wapi kinaconcentration kubwa ya maambukizi kwa haraka na kuchukua hatua mapema.
Kupima mtu mmoja moja ni vigumu sana ila kuchukua sample ya maji yaliyokwisha tumiwa kunawia na watu wengi inaweza saidia kugundua kwa haraka wapi kunamaambukizi makubwa na wapi kunamaambukizi kiasi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii itasaidia serikal kujua wapi kinaconcentration kubwa ya maambukizi kwa haraka na kuchukua hatua mapema.
Kupima mtu mmoja moja ni vigumu sana ila kuchukua sample ya maji yaliyokwisha tumiwa kunawia na watu wengi inaweza saidia kugundua kwa haraka wapi kunamaambukizi makubwa na wapi kunamaambukizi kiasi.
Sent using Jamii Forums mobile app