Serikali itoe tamko kuwa mwanafunzi akikutwa na simu anafukuzwa shule

YEHODAYA

JF-Expert Member
Aug 9, 2015
36,910
51,903
Shule nyingi za serikali zimekuwa zikifanya vibaya matokeo ya mitihani ya secondary.Moja ya sababu ni kiwango cha chini mno cha kupitiliza cha nidhamu ya wanafunzi shuleni na nje ya shule na tatizo la umiliki wa simu,radio na TV mabwenini.

Mashule mengi serious ya private yanayofaulisha sana simu ni marufuku mwanafunzi kuwa nazo akikutwa nayo anafukuzwa shule.

Ukaguzi wa kushtukiza kwa wanafunzi ni kitu muhimu sana nakumbuka nilishawahi Fanya zoezi la kushtukiza shule Moja kwenye mabegi ya wanafunzi wa day kwenye mabegi yao tulikuta vitu vya ajabu kuanzia kondomu,simu,bangi ,sigara,viberiti,viroba vya pombe ,nguo za kubadilisha za nyumbani kwa watoto wa kike kama.vimini ,visuruali nk .

Shule zote Wawe wakifanya ukaguzi wa ghafla mfano kuwa search,kuwavamia mabwenini na kumwita mmoja mmoja aingie ndani afungue sanduku lake ufanywe upekuzi na kuwasimamisha uwanjani na kuwataka waweke mabegi yote chini watoke wakae mbali na kuanzia kumwita mmoja mmoja na begi lake afungue afanyiwe upekuzi.
 
Shule nyingi za serikali zimekuwa zikifanya vibaya matokeo ya mitihani ya secondary.Moja ya sababu ni kiwango cha chini mno cha kupitiliza cha nidhamu ya wanafunzi shuleni na nje ya shule na tatizo la umiliki wa simu,radio na TV mabwenini.

Mashule mengi serious ya private yanayofaulisha sana simu ni marufuku mwanafunzi kuwa nazo akikutwa nayo anafukuzwa shule.

Ukaguzi wa kushtukiza kwa wanafunzi ni kitu muhimu sana nakumbuka nilishawahi Fanya zoezi la kushtukiza shule Moja kwenye mabegi ya wanafunzi wa day kwenye mabegi yao tulikuta vitu vya ajabu kuanzia kondomu,simu,bangi ,sigara,viberiti,viroba vya pombe ,nguo za kubadilisha za nyumbani kwa watoto wa kike kama.vimini ,visuruali nk .

Shule zote Wawe wakifanya ukaguzi wa ghafla mfano kuwa search,kuwavamia mabwenini na kumwita mmoja mmoja aingie ndani afungue sanduku lake ufanywe upekuzi na kuwasimamisha uwanjani na kuwataka waweke mabegi yote chini watoke wakae mbali na kuanzia kumwita mmoja mmoja na begi lake afungue afanyiwe upekuzi.

Hivi ni nani alikudanganya na alikuambia kuwa Mwanafunzi kuwa na Simu Shuleni ndiko kunachangia Yeye ' Kufeli ' Masomo yake?
 
Maadili huanzia nyumbani, Shuleni ni muendelezo tu wa mtoto alichotoka nacho nyumbani.. Mzazi nyumbani na Mwalimu shuleni wote kwa moyo mmoja wakishirikiana nidhamu itakuwa njema tu..

Wanafunzi wengi wanaosoma shule za Serikali hali ya maisha nyumbani ni duni, walimu wengi wanaofundisha shule za Serikali hali zao ni duni.. Misongo ya mawazo kwa mwalimu shuleni na Wazazi nyumbani inayosababishwa na hali zao za maisha mhanga anakuwa mwanafunzi/mtoto maana hakuna tena mwenye muda hapa..

Watoto wengi wa Kitanzania wanajilea wenyewe, wapo wanaonusurika hapa kwa uwezo wa Mungu lakini waliowengi hupotea na kuishia kuwa wasindikizani kwa wachache wenye familia zenye nafasi..

Tatizo lipo tusilikimbie na kuwaachia wanasiasa, kelele zipigwe chanzo kitafutwe tuache kuchukulia vitu juu juu na kuacha wapotoshaji huku wao na familia zao wakisonga mbele, Uzalendo kwa wote unahitajika sana kuokoa kizazi. Mwanao akiwa vizuri lakini akaishi kwenye jamii ya hovyo bado hujamsaidia maana anaweza akaishi masaki bila kukatiza kwenda kokote bila ulinzi mkali wa vifaru..
 
Kama hatutaki wawe na simu basi na computer mashuleni zipigwe marufuku..
Eti mwanafunzi wa form six bado hatakiwi kua na tablet wala laptop shuleni wakati computer alisomea kidato cha nne. Tuna shida kupita kiasi; zile software za gamming zinatengenezwa na watoto wa junior schools kwa sababu wanakua na vitendea kazi wakati wote na ni pamoja na simu.

Akili ya kitumwa ya kukariri tu masomo ndo inatusumbua jamii yetu.
 
Tambua pia Technolojia haikimbiwa bali watu huenda nayo kwa kujiwekea mipaka ndio maana zikatengenezwa software za kuweka kwenye simu kudhibiti mienendo ya watoto..TV pia zina software za kulimit matumizi ili tu watoto waangalie vipindi rafiki tu..

Kuna haja watanzania kuwa kitu kimoja kuzipinga siasa uchwara zinazopotosha mambo ya msingi.. Wanasiasa wanatuchonganisha wenyewe kwa wenyewe na kuacha kudemand vitu vya msingi kwao..

Maadui watatu wakiendelea kuwepo huwezi kufanya chochote hizo ni basics ambazo zikiwepo kwa kiasi kikubwa kwenye jamii ni rahisi kupambana na mengi..
 
Shule zote zina "bylaws" zenye kukataza wanafunzi kumiliki simu, vitu vyenye kuhatarisha usalama na hata afya. Kwa hiyo basi umiliki wa vitu hivi hutokana na wazazi, walezi ama utovu wa nidhamu wa wanafunzi wenyewe. Mimi nashauri shule ziweke utaratibu wa kukagua wanafunzi wawapo mabwenini ama madarasani mara kwa mara. Ikiwezekana waweke CCTV camera ktk maeneo ambayo watovu wa nidhamu hupenda kuzitumia kwa vificho.
 
Join Instructions za Shule husika zinakataza Simu lakin tatizo linakuja kwenye usimamizi wa hizo Sheria na ndio sababu Mpendwa Rais Magufuli aliamua kuvunja Bodi ya Shule ya kule Mbeya kwa usimamizi mbovu!

Sehemu zingine unakuta Wakuu wa Shule ndio wanawapa Simu Wanafunzi iliawapate kirahisi akiwahitaji usiku wakati wa Kufundishana ‘Sayansi Kimu ‘
 
sio tu simu mpaka chekea watoto wapewe tablet wazitumie kama vitendea kazi shuleni. Tuko kwenye dunia ya teknolojia sio Stone ages.. Utapataje wataalamu wa Teknolojia kama unataka watu watumie hivyo vitu wakiwa wazee??

Wote tunajua madhara ya kuanza kuionea computer chuo kikuu, maana malecturer siku hizi wanatoa link tu na idea kiasi kikubwa unatafuta mwenyewe kwa kutumia teknolojia..
 
sio tu simu mpaka chekea watoto wapewe tablet wazitumie kama vitendea kazi shuleni. Tuko kwenye dunia ya teknolojia sio Stone ages.. Utapataje wataalamu wa Teknolojia kama unataka watu watumie hivyo vitu wakiwa wazee??

Wote tunajua madhara ya kuanza kuionea computer chuo kikuu, maana malecturer siku hizi wanatoa link tu na idea kiasi kikubwa unatafuta mwenyewe kwa kutumia teknolojia..
Form five na six ni watoto ? Kwanza ni 18+
 
Naiona mipango ya wizara ya elimu kupika sababu za kushuka kwa kiwango cha elimu nchini hasa shule za kata kuwa ni wanafunzi kumiliki simu.
Nashauri mngetumia muda huo na nguvu kubwa kuboresha elimu badala ya kutengeneza matukio ya kipuuzi ambayo hayatolisaidia taifa ktk kukuza elimu.
 
Shule nyingi za serikali zimekuwa zikifanya vibaya matokeo ya mitihani ya secondary.Moja ya sababu ni kiwango cha chini mno cha kupitiliza cha nidhamu ya wanafunzi shuleni na nje ya shule na tatizo la umiliki wa simu,radio na TV mabwenini.

Mashule mengi serious ya private yanayofaulisha sana simu ni marufuku mwanafunzi kuwa nazo akikutwa nayo anafukuzwa shule.

Ukaguzi wa kushtukiza kwa wanafunzi ni kitu muhimu sana nakumbuka nilishawahi Fanya zoezi la kushtukiza shule Moja kwenye mabegi ya wanafunzi wa day kwenye mabegi yao tulikuta vitu vya ajabu kuanzia kondomu,simu,bangi ,sigara,viberiti,viroba vya pombe ,nguo za kubadilisha za nyumbani kwa watoto wa kike kama.vimini ,visuruali nk .

Shule zote Wawe wakifanya ukaguzi wa ghafla mfano kuwa search,kuwavamia mabwenini na kumwita mmoja mmoja aingie ndani afungue sanduku lake ufanywe upekuzi na kuwasimamisha uwanjani na kuwataka waweke mabegi yote chini watoke wakae mbali na kuanzia kumwita mmoja mmoja na begi lake afungue afanyiwe upekuzi.
[/QUO Tanzania kubwa hii kuna shule wanafunzi TV, sm hawajui lakini wanaferu

Pengine tuambiane ukweli tu zama zimebadilika mfumo wa elimu unapaswa badilishwa siku hizi hata hao watoto mnaosema wanafauru ukifutilia ni siri ya uongozi wa shule

Watoto wanafeli kuanzia mashuleni mpaka vyuoni hali ni mbaya sana
 
Mwalimu anaweza kufanya hivyo akaishia kutupiwa majini na mzazi wa mtoto, serikali itoe tamko jukumu litolewe kwa wazazi wote mwanafunzi atakae onekana na sim iwe barabarani amchukulie sheria/kumnyanganya sim
 
Shule nyingi za serikali zimekuwa zikifanya vibaya matokeo ya mitihani ya secondary.Moja ya sababu ni kiwango cha chini mno cha kupitiliza cha nidhamu ya wanafunzi shuleni na nje ya shule na tatizo la umiliki wa simu,radio na TV mabwenini.

Mashule mengi serious ya private yanayofaulisha sana simu ni marufuku mwanafunzi kuwa nazo akikutwa nayo anafukuzwa shule.

Ukaguzi wa kushtukiza kwa wanafunzi ni kitu muhimu sana nakumbuka nilishawahi Fanya zoezi la kushtukiza shule Moja kwenye mabegi ya wanafunzi wa day kwenye mabegi yao tulikuta vitu vya ajabu kuanzia kondomu,simu,bangi ,sigara,viberiti,viroba vya pombe ,nguo za kubadilisha za nyumbani kwa watoto wa kike kama.vimini ,visuruali nk .

Shule zote Wawe wakifanya ukaguzi wa ghafla mfano kuwa search,kuwavamia mabwenini na kumwita mmoja mmoja aingie ndani afungue sanduku lake ufanywe upekuzi na kuwasimamisha uwanjani na kuwataka waweke mabegi yote chini watoke wakae mbali na kuanzia kumwita mmoja mmoja na begi lake afungue afanyiwe upekuzi.
kuna mahusiano makubwa na ya moja kwa moja kati ya kufanya vibaya kwa shule za serikali na MOTIVATION ZA WALIMU.
mnaamini kwenye mabarabara na kutishia kufukuzana kazi af mnadanganyana ati nidhamu ya watumishi imeongezeka
majuha
 
Shule nyingi za serikali zimekuwa zikifanya vibaya matokeo ya mitihani ya secondary.Moja ya sababu ni kiwango cha chini mno cha kupitiliza cha nidhamu ya wanafunzi shuleni na nje ya shule na tatizo la umiliki wa simu,radio na TV mabwenini.

Mashule mengi serious ya private yanayofaulisha sana simu ni marufuku mwanafunzi kuwa nazo akikutwa nayo anafukuzwa shule.

Ukaguzi wa kushtukiza kwa wanafunzi ni kitu muhimu sana nakumbuka nilishawahi Fanya zoezi la kushtukiza shule Moja kwenye mabegi ya wanafunzi wa day kwenye mabegi yao tulikuta vitu vya ajabu kuanzia kondomu,simu,bangi ,sigara,viberiti,viroba vya pombe ,nguo za kubadilisha za nyumbani kwa watoto wa kike kama.vimini ,visuruali nk .

Shule zote Wawe wakifanya ukaguzi wa ghafla mfano kuwa search,kuwavamia mabwenini na kumwita mmoja mmoja aingie ndani afungue sanduku lake ufanywe upekuzi na kuwasimamisha uwanjani na kuwataka waweke mabegi yote chini watoke wakae mbali na kuanzia kumwita mmoja mmoja na begi lake afungue afanyiwe upekuzi.
Vijana wapewe simu watumie. Msilete ujima hapa!
Wameadhibiwa kwa kuchoma moto nyara za serikali,bweni.
 
Acha unoko wako,tuwasiliana vipi na mabebi wetu lazima watujulishe muda wa kumaliza masomo ili tuje kuwafuata na magari kuwarudisha home
 
Mwanangu Yuko darasa la pili lakini simlei kizamani Sana. Computer namfundisha na simu tayari ana uwezo wa kupiga kupokea na kutuma Kusoma sms. Hata ku Google katuni taayari anajua. Nataka kimsingi nimtengeneze kiasi Cha yeye kuwa na uwezo wa kujisomea vitabu na kujibu maswali online. Kumtenga na technolojia Sina mpango ila nitahakikisha nakuwa makini Sana na matumizi yake hasa kwa mtoto. Huku ndiyo dunia ilikofika hatuwezi kuepuka.
 
Technology has change but the education system has not change with it. Mi nafikiri tuishi kwa kusoma nyakati dunia ya sasa ipo ktk information age ni muda muafaka wa kutumia teknologia kurahisisha teaching and learning process.
 
Back
Top Bottom