The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,108
- 115,842
Kwenye hii story ya vijana wa JKT kikubwa kabisa ni story ya ukosefu wa ajira.
Kama sikosei kuna takwimu zilitoka kuonesha uchumi wetu ulikuwa unakuwa Kwa asilimia 2.5 Tu Kwa miaka miwili iliyopita.
Tofauti na propaganda za kuwa unakuwa Kwa asilimia 7 kila mwaka.
Na ili uchumi uzalishe ajira za kutosha lazima ukue Kwa asilimia kuanzia 15.
Kwahiyo tatizo letu kubwa hapa Tz sasa ni uchumi mbovu unaoendeshwa vibaya na maagizo ya kisiasa ndo maana unaona vijana wanaandamana. Kwenda kuomba kuajiriwa jeshini kwa nguvu.
Nchi hii kuajiriwa serikalini ni 'kuukata'.
Zamani enzi za Mzee Ruksa watu walikuwa hawataki kuajiriwa serikalini, wengine hadi wanaacha kazi wanaenda sekta binafsi.
Serikali itazame upya Sera za kuendesha uchumi na watu sahihi wa kuendesha uchumi, vinginenevyo hili bomu la ajira litalipuka mda si mrefu.
Kama sikosei kuna takwimu zilitoka kuonesha uchumi wetu ulikuwa unakuwa Kwa asilimia 2.5 Tu Kwa miaka miwili iliyopita.
Tofauti na propaganda za kuwa unakuwa Kwa asilimia 7 kila mwaka.
Na ili uchumi uzalishe ajira za kutosha lazima ukue Kwa asilimia kuanzia 15.
Kwahiyo tatizo letu kubwa hapa Tz sasa ni uchumi mbovu unaoendeshwa vibaya na maagizo ya kisiasa ndo maana unaona vijana wanaandamana. Kwenda kuomba kuajiriwa jeshini kwa nguvu.
Nchi hii kuajiriwa serikalini ni 'kuukata'.
Zamani enzi za Mzee Ruksa watu walikuwa hawataki kuajiriwa serikalini, wengine hadi wanaacha kazi wanaenda sekta binafsi.
Serikali itazame upya Sera za kuendesha uchumi na watu sahihi wa kuendesha uchumi, vinginenevyo hili bomu la ajira litalipuka mda si mrefu.