MchochezeKosa lake nn???
Haaaa haaaa....umeua mbaya mazeeNi vizuri kuchagua viongozi ambao walau wamesha fanya biashara hata ya kuuza mkaa na wakafanikiwa.
Tutakula maneno miaka 10 hadi tushibe
Notice board hiyo ni ya hostel ambayo kila siku hubandikwa matangazo. Mwenyekiti wa waha, au wa watu wa kusuni akiwa na tangazo anabandika hapohapo, kwa nini notice board isichakae?Kwa sisi tuliokaribu na hapa, kitangazo kiko sahihi na kimetolewa na serikali ya wanafunzi - Catholic University of Health and Allied Sciences Students Organization (CUHASSO)
Me mwenyewe nimemshangaa huyu mtu, sasa sijui vyuo vikubwa ni vp? labda mwenzetu anaangalia ukubwa wa majengoI
Ivi bugando(catholic university of health and allied science CUHASO) kumbe chuo kidogo ee nilikuwa cjui, ni vyuo vipi vikubwa hapa tanzania unavyovizungumzia mkuu
Mkuu, sina uhakika kama unauelewa umuhimu wa Bugando, KCMC na MUHAS.ndio shida ya kusoma vyou vidogovidogo ,, pesa zilizotoka zinapelekwa kwenye vyuo vikubwa ,, nyie masalia inabidi tu mpumzike kwa mda . Pole Dogo ,,,
Hongera wewe uko Havard. Hawa wa Bugando endelea kuwaita masalia time will tell.ndio shida ya kusoma vyou vidogovidogo ,, pesa zilizotoka zinapelekwa kwenye vyuo vikubwa ,, nyie masalia inabidi tu mpumzike kwa mda . Pole Dogo ,,,