Jojo123
JF-Expert Member
- Jan 31, 2013
- 432
- 694
Jaman hii issue ni tatizo kubwa sana .. Dada yangu wapekee katika familia yetu ameugua ugonjwa wa Kusindwa kupumua mpaka aka Kimbizwa kwenye Mashine ..bahati nzuri tuli mfukiza kwa wingi na kunywa tangawizi na malimao.. Ghafla yeye akapona ika muanza binti yake tena yaan nimetoka kwenye pilika pilika kichwa kina uma.
Mungu kasaidia wamepona wote..
Mungu kasaidia wamepona wote..