Naam wanajamvi!

Hawa CCM wanatuaibisha sana kidunia. Yaani huwa siwaelewi. Siyo wote, ila walio wengi nafikiri wanakosa tools of analyzing things. Wamesoma ila maarifa wameyaacha huko huko shuleni. Inakuwaje lakini?

Kwanini nasema hivi? Ukweli ni kwamba Covid -19 ipo! Na watu wengi wanakufa kwa huu ugonjwa. Mashirika ya dini na taasisi mbali zimeanza kuwakumbusha watanzania wajibu wa kujilinda na kuwalinda wengine dhidi ya ugonjwa huu, lakini kule Bungeni kuna mtu amesikika akisema msimamo wa serikali wa kuto kufuata maelekezo ya social distancing, kunawa mikono kwa kutumia maji tiririka na sabuni au vitakasa mikono ni MSIMAMO SAHIHI ! Fikiria hawa watu ni wazima kweli ?

Jambo moja nililo na uhakika ni kwamba ikiwa Rais Maguli akiamua kuvunja ukimya na atangaze tuendelee kujikinga kwa kuvaa barakoa na kunawa mikono, kesho tu wote wataanza kumsifia kwa SAUTI KUU kuwa Rais amekuja na msimamo sahii na uliobeba maono.Hivi huyu Mungu hana namna ya kuwatumia watu hawa ili tuondokane na huu ujinga wao.
 
Waitaliano walikufa Sana, lkn kilichowaua Sana ni hichi kinachoendelea nchini..

Vaeni barakoa au facemask tumieni vitakasa mikono, muhimu zaidi ule utamaduni tulioanza nao phace one kunawa na nyungu tuhakikishe tunanawa mikono. Najifikiza wale waliohamasisha kunawa nankukagua ndio, maji yanakuwepo kwenye kila stand ya mabasi wamekufa???

Mbona hakuna uhamasishaji na msisitizo wowote?? Jmn tusaidiene tukumbushe, tunawe maji na sabuni ni salama zaidi, wasiwasi wangu ni watoto mashuleni

Kama Kuna mbishi na arrogant flani hivi much know flan muacheni Kama alivyo, Mungu atamhukumu..

Tusiwe wapuuzi korona ipo, kwa kawaida kila tatizo la kukohoa mafua vikijaa kwenye vyombo vya usafir naona kabisa gonjwa lipo

my message

Correction kwenye heading
Sikio la kufa.....
 
'
JamiiForums329407765.jpg
 
Waitaliano walikufa Sana, lkn kilichowaua Sana ni hichi kinachoendelea nchini..

Vaeni barakoa au facemask tumieni vitakasa mikono, muhimu zaidi ule utamaduni tulioanza nao phace one kunawa na nyungu tuhakikishe tunanawa mikono. Najifikiza wale waliohamasisha kunawa nankukagua ndio, maji yanakuwepo kwenye kila stand ya mabasi wamekufa??? Mbona hakuna uhamasishaji na msisitizo wowote?? Jmn tusaidiene tukumbushe, tunawe maji na sabuni ni salama zaidi, wasiwasi wangu ni watoto mashuleni

Kama Kuna mbishi na arrogant flani hivi much know flan muacheni Kama alivyo, Mungu atamhukumu..


Tusiwe wapuuzi korona ipo, kwa kawaida kila tatizo la kukohoa mafua vikijaa kwenye vyombo vya usafir naona kabisa gonjwa lipo

my message

Correction kwenye heading
Sijui la kufa.....
Raia wameaminishwa tofauti....ili tupone inatupasa raia kwa wingi wetu tuchukue hatua, bila hivyo ni kazi bure.

Unaweza kukwepa adui mmoja lakini sio maadui kwa maelfu wanatoka kila kona.
 
Hizi sarakakasi zote za kuto tangaza Covid 19 kisa ni Watalii waje Tanzania, yaani watu wanapukutika kwa gharama za ku attract watalii waje tupate Dollar.

Hii ni hatari sana, yaani Watanzania wanabeba gharama na hizi gharama ni Kifo.

Vifo vya Watanzania si chochote mbele ya Dollar za Kimarekani zinazo tafutwa kwa nguvu zikajenge Reli na Bwawa la maji.

Miradi Mingi hii itakuja kuwa na damu za watu.
 
Enzi zake KAMANDA Mkuu saa ivi kashawanyanyua makamanda wadogo WASUSE Bunge .... waje kutumbua kwenye mahoteli Dar...! Eti wamejilock down ..!
 
Hawataki kutangaza kupiga marufuku salam za kushikana mikono ili corona isambae wengi wafe wapate pesa nyingi toka WHO wakajengee SGR ambayo ujenzi wake unasuasua kwa Ukata
Wana roho mbaya sana hawa estou!

Sasa watu wengi hiyo SGR yao atapanda nani?
 
Ukiwa huna akili huna tu, aliyekupa ruksa ya kutoa namba za watu hapa bila utaratibu ni Nani?

Na Kwa akili yako unaona Sawa? Wewe mbona Una I'd feki?
Aliyekuambia kuwa wewe una Akili ni nani? Nani kakutuma kuandika huu upumbavu ulioandika hapa? Hapo ulipo huna Ubongo umejaa Moshi wa Bangi unawezaje kujua asiye na Akili?

Anza kuwa na Akili kwanza wewe ndipo uje na hoja ingine hii ya sasa haina mashiko, imekuuma kuanika namba zako hapo siyo? Ndiyo vizuri ili upigiwe simu upate kuwaelezea ujinga wako vizuri wakufahamu zaidi, hutaki kupambana kuzuia corona umekalia kuwinda uteuzi kishamba shamba kwa njia haramu za kishetani.
 
Hizi sarakakasi zote za kuto tangaza Covid 19 kisa ni Watalii waje Tanzania, yaani watu wanapukutika kwa gharama za ku attract watalii waje tupate Dollar...
Watalii wanaleta Dola ikiwa imechanganywa na covid 19 ni utalii Hatari usio na tija yeyote, kwani uhai ni muhimu kuliko pesa za kigeni, kama utalii ni muhimu ni kwa nini hawafanyi bidii kuhimiza watu kujikinga kwa bidii kuzuia salam za mikono na wageni?
 
Waziri wa Afya endapo ataendelea na style zake za kuchukulia poa janga hili atambue kuwa kila anayekufa kwa Corona Dhambi yote inaelekea kwake kwa kuwa amegoma kupiga marufuku salam za kushikana mikono ambazo ndiyo kichocheo kikuu cha maambukizi kwa kasi kubwa
 
Hizi sarakakasi zote za kuto tangaza Covid 19 kisa ni Watalii waje Tanzania, yaani watu wanapukutika kwa gharama za ku attract watalii waje tupate Dollar...
Kama ingekuwa issue ni watalii huku wakijua corona inapukutisha watu basi tungeona nao wakijikinga ili wasipukutike,ila ndio kwanza wanajichanganya kama sisi na kushikana mikono na barakoa hawavai ndio kusema wamejitoa kafara hadi wao wenyewe?
 
Waziri wa Afya endapo ataendelea na style zake za kuchukulia poa janga hili atambue kuwa kila anayekufa kwa Corona Dhambi yote inaelekea kwake kwa kuwa amegoma kupiga marufuku salam za kushikana mikono ambazo ndiyo kichocheo kikuu cha maambukizi kwa kasi kubwa
Mbona wao wenyewe wanatoa hizo salamu ndio tuseme hawajui hicho unachokisema wewe?
 
Mbona wao wenyewe wanatoa hizo salamu ndio tuseme hawajui hicho unachokisema wewe?
Wao wana pesa wanajipaka vitakasa mikono lakini wananchi walala hoi hawana pesa za kununua vitakasa mikono njia sahihi ya kuwalinda ni kuhimiza wanawe mikono kuvaa barakoa kutosalimiana kwa kushikana mikono kama alivyopata kutangaza waziri wa zamani wa Afya Ummy mwalimu.
 
Itisha kikao. Ita viongozi wote uliowateua na kuwachagua. Wawepo mawaziri, waite na wabunge pia, wakurugenzi,makatibu,wakuu wa mikoa,wilaya n.k wote.

Simama. Waambie. "Wanaosema kuna Corona Tz wakae kushoto na wanaosema Hakuna Corona Tz wapite kwangu Kulia"

Utaona wanavyokimbia kuelekea kulia kwako wakikanyagana na kusukumana. Wote watakuja kulia kwako.

Basi baada ya hapo waaambie waeleze hali ya Corona ilivyo. Watakwambia hamna Corona ni mabeberu wanatutisha na kuona wivu jitihada zako. Tena wataenda mbali na kusema wewe ulishaisimamisha Corona hapa nchini.

Wakimaliza. Simama sema sasa umeona jinsi ambavyo mabeberu wameingiza Corona wakiwa na Nia ya kutuua sote. Hivyo tujikinge. Halafu toa Mask vaaa. Haraka utaona viongozi hawa hawa wakikimbilia mabegi yao na wengine kuchomoa mifukoni Barako wakivaa na kukuongeza kwa kugundua Ugonjwa wa Corona Tanzania.

Hapo nakwambia utagundua umezungukwa na wachawi,wanga,majambazi,wanafiki na wauaji wakubwa.
 
" Wakimaliza. Simama sema sasa umeona jinsi ambavyo mabeberu wameingiza Corona wakiwa na Nia ya kutuua sote. Hivyo tujikinge. Halafu toa Mask vaaa. Haraka utaona viongozi hawa hawa wakikimbilia mabegi yao na wengine kuchomoa mifukoni Barako wakivaa na kukupongeza kwa kugundua Ugonjwa wa Corona Tanzania".

Daaah!!!!! Very Interesting advice...Mh. Rais mbona anawajua walio wake Kweli kweli na Walio wake Kimaslahi....
 
Wao wana pesa wanajipaka vitakasa mikono lakini wananchi walala hoi hawana pesa za kununua vitakasa mikono njia sahihi ya kuwalinda ni kuhimiza wanawe mikono kuvaa barakoa kutosalimiana kwa kushikana mikono kama alivyopata kutangaza waziri wa zamani wa Afya Ummy mwalimu
Kwahiyo huwa wanatembea na sanitezer? Na vp wanavyojichanganya na watu bila barakoa hili nalo wanatumia mbinu gani kukwepa maambukizi?
 
...kiukweli rais wetu kazungukwa na watu dhaifu mno.
Amewateua mwenyewe ni watu wake ndo maana inampa shida hata kuwatengua maana wanafanya kazi yake kwa manufaa yake kwa hiyo kama wanaomzunguka ni dhaifu, kama sote tunavyoshuhudia na kujiuliza, ilikuwaje kati ya Watanzania milioni 60 akachagua hao? Birds of a feather for sure!
 
Back
Top Bottom