Wananchi wa sehemu gani hao? Mbona huku kwetu tunarushiana makamqsi tu kwa chafya zisizo na tahadhari na maisha yako kama kabla ya korona kugundulika?sasa wananchi wameanza kuwa na wasiwasi kuwa Korona ipo nchini
Wananchi wa sehemu gani hao? Mbona huku kwetu tunarushiana makamqsi tu kwa chafya zisizo na tahadhari na maisha yako kama kabla ya korona kugundulika?sasa wananchi wameanza kuwa na wasiwasi kuwa Korona ipo nchini
Kumbe mmoja tu mtaa mzima? Huu siyo uginjwa wa kutisha hata kidogo. Acha maisha yaendeleeMtaani kwao modeko wamezika mtu
Sijapinga nimeuliza swali dogo tuu!!! Kama kila mmoja wetu anaechangia humu akitoa data kuhusu close family members tutapata picha halisi ya jinsi watu walivyoathirika. Nianze na mimi binafsi thanks God mpaka sasa sijasikia mtu wangu aliyeugua corona/pneumonia au hata homa kali tangu covid ianze.Wewe unaepinga upo kila mtaa, Kijiji na wilaya?
Watu Kama ninyi, ndiyo mnasababishaga watu kupigwa burn na mods maana unapiga tu shetani nini?
Immunity, not immuniteWe nunua tangawizi, mchaichai chemsha iive ukiipua mix limao na asali gonga nusu kikombe asubuhi na jioni na familia yako ongeza immunite kwa mbegu za tikiti pia zina zink ya kutosha.
Sometime warm you body by drinking hot water until you sweat.
Mengine iachie serikali itajua cha kufanya.
Pole sana mkuu.Hii kitu ( covid 19) imenilaza hospital kwenye oxygen for 3 weeks December 2020
Wanaujua ukweli ila kwa kuwa wana ego, wako tayari kuilinda ego yao kuliko kuchukua measures za kulinda wananchi dhidi ya janga hiliCovid ipo na uzuri haichagui, hata hao wanaosema haipo inaendelea kuwafyeka tu Jamaa zao na wao hawana kinga wala exception kusema Covid haiwezi kuwafikia.
Ndio Maana wame ji isolate, Mbochi Tocha
Jikinge Mwenyewe usiwangoje wakwambie
Jirani yangu kafa kwa dalili zote za koronaCorona ipo tena umepamba moto, watu wanakufa sana sisi tumeamua kuendekeza siasa. Uliza madaktari wa muhimbili na muloganzila wakupe picha kamili
Kwani kuchukua tahadhari unasubiri hadi Magufuli akuambie?Itc like Rich people are aware of this. Ila sisi makapuku tunatumiaga tu akili za kuambiwa kama nyumbu. Leo nmepishana na gar ilikuwa ni kama mtu na familia yake. Wote wamevaa barakoa kwenye gari. Na wamejifungia vioo full ac. Nikajiuliza sasa hapa nani ni mpumbavu...sisi tunaosubiri magufuli atuambie tuvae au tusivae barakoa ao hao waliojiamlia kuvaa na kufata taratibu kujilinda na covid.
Swali lingine nimejiuliza.
Hivi inaicost serikal kiasi gani kuwapa awateness wananch juu ya kujikinga na covid 19?
Pana watu yafaa washatakiwe kwa kumisslead watu Ili wapotee Hali wao wamejificha majumbani kwao kukimbia corona,nani alikuambia sisi ni kisiwa.Kuna rafiki yangu yupo morogoro amenipigia simu Leo kuniambia kuwa Corona ipo nichukue tahadhari
Mtaani kwao modeko wamezika mtu alikuwa na dalili zote za Corona alipokuwa hai.
Pana watu yafaa washatakiwe kwa kumisslead watu Ili wapotee Hali wao wamejificha majumbani kwao kukimbia corona,nani alikuambia sisi ni kisiwa.Kuna rafiki yangu yupo morogoro amenipigia simu Leo kuniambia kuwa Corona ipo nichukue tahadhari
Mtaani kwao modeko wamezika mtu alikuwa na dalili zote za Corona alipokuwa hai.
Kweli kabisa, yani mtu anang'ang'ania vitu visivyo hata na hoja, hivi kuna mtu asiyejua corona ipo hapa duniani?Awareness kama tunayo inatosha ss kujikinga wenyewe. Serikali haijakataza raia kujikinga na covid.
Wakati mwingine ni bora kuwe hivi, Kwann tunataka panic irudi tena? Watu waanze kufa tena? Manesi wetu wanajulikana, wakishapanic nani atatoa huduma kwa wenye pumu, kifua kikuu, nimonia, n.k? Yaani serikali ikitangaza corona ipo tegemea matatizo zaidi ya mafanikio.
Kwa hali ilivyokuwa kipindi cha corona mi naona Kila mtu ajikinge, na kusali bila kusubiri tamko la serikali.
Public awareness bado ni muhimu. nayo ni sehemu muhimu ya kupambana na hili janga.Kwani kuchukua tahadhari unasubiri hadi Magufuli akuambie?
Lakini njia za kujikinga na corona ni zipi hizo? Mbona hizi zinazofahamika duniani bado zinaendelea kuwaumiza watu?Mimi na wewe kwa sababu tuna kielimu kidogo tunaweza kuamini kuwa korona ipo
Ila kuna wale raia ambao uelewa wao wa masuala haya ni mdogo, tangu Magufuli atangaze Korona haipo TZ huwaambii kitu kuhusu korona, wanajua haipo tu!. Na bahati mbaya serikali iliamua makusudi kudiscourage njia za kujikinga na korona kama njia maalum ya kurudisha "ukawaida" (Normalcy), hilo ni kosa kubwa, ilitakiwa ihamasishe jitihada za kujikinga badala ya kuzipiga vijembe
Ndugu yangu, hivi kwa sababu wewe una uelewa unadhani wananchi wenzako hawa ambao majuzi tu katika baadhi ya mikoa walikuwa wanafundishwa na taasisi moja ya Taifa kubwa duniani kuosha mikono baada ya kunya nao ni waelewa kama wewe?Lakini njia za kujikinga na corona ni zipi hizo? Mbona hizi zinazofahamika duniani bado zinaendelea kuwaumiza watu?
Duh! pole sana ndugu yanguJan 1 2021: Kifo cha baba mdogo, upumuaji.
Jan 14 2021 Kifo cha babu, upumuaji.
Wote walisaidiwa na mashine kupumua nyakati za mwisho za uhai wao.
ALLAH awarehemu.