BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,007
Sasa kama wasingeweza kushinda kwanini aliuwa watu na kuiba kura na kuweka kura fake kwenye masanduku ya kupigia kura? Kwanini alikataa wito wa Mkapa wa kuwepo tume huru ya Uchaguzi na kura kuhesabiwa hadharani?
Kwahiyo unafikiri Upinzani ungeweza kushinda uchaguzi?
By the way mimi siko CCM.